Ilishawahi nikuta nikitoka Moshi kwenda Mwanza......Mafuta nikaja kuweka Singida.Hatari sanaHii njia ya Arusha-Dom ya ajabu sana usiombe upite usiku yaan vituo vyote vya mafuta jamaa wamefunga wameenda kulala nimetembea karibia km 200 sijapata mafutaView attachment 2068239
Hatari [emoji1][emoji1]Ndiyo maana naogopa sana ugomvi wa kurushiana ngumi...siwezi...
Mara ya mwisho kupigana nilikuwa class five..[emoji28][emoji28]
Siku moja nimekaa mahali nikaona dereva wa daladala ameparua IST ya mjeda bampa la mbele.....aisee yule dereva alichochewa ngumi..[emoji28][emoji28]
Na bado mwisho wa siku wakaongea na kufidiana gharama..
Hahahahahha eti alichochewa NgumiNdiyo maana naogopa sana ugomvi wa kurushiana ngumi...siwezi...
Mara ya mwisho kupigana nilikuwa class five..[emoji28][emoji28]
Siku moja nimekaa mahali nikaona dereva wa daladala ameparua IST ya mjeda bampa la mbele.....aisee yule dereva alichochewa ngumi..[emoji28][emoji28]
Na bado mwisho wa siku wakaongea na kufidiana gharama..
Vyote viwili 😛😛😛...sababu ya kukwepa kusafiri usiku ni hii,nahisi uwezo wangu wa kuona usiku umepungua kwa kiasi kikubwa.Mimi siku hzi nna tatizo la kuendesha usiku town, zile taa za kumulikwa tukiwa tunapishana zinanizingua sana, kiasi siwezi kutembea zaidi ya 50 kph. Nakuwa na tension sana...ukizingatia gari yangu Taa zake kidogo zilishika ukungu kwa hyo sio kali sana kumulika barabara..
Hapa nisafishe taa au nikapime Macho? Kuna Raia wanakupiga full mpaka machozi yanatoka.
Hili ni tatizo sana na sikuwa nalo kipindi cha nyumaVyote viwili 😛😛😛...sababu ya kukwepa kusafiri usiku ni hii,nahisi uwezo wangu wa kuona usiku umepungua kwa kiasi kikubwa.
Mm huwa nazima zangu Kwa sekunde chache alafu nawasha full direct nikiona mbishi nakuletea goma huko huko.Mimi siku hzi nna tatizo la kuendesha usiku town, zile taa za kumulikwa tukiwa tunapishana zinanizingua sana, kiasi siwezi kutembea zaidi ya 50 kph. Nakuwa na tension sana...ukizingatia gari yangu Taa zake kidogo zilishika ukungu kwa hyo sio kali sana kumulika barabara..
Hapa nisafishe taa au nikapime Macho? Kuna Raia wanakupiga full mpaka machozi yanatoka.
MWingine unakuta inawaka moja,akiweka full ndio anapata mwanga kidogo. Halafu unakuta ni bulb tu ya kubadilisha.Mm huwa nazima zangu Kwa sekunde chache alafu nawasha full direct nikiona mbishi nakuletea goma huko huko.
Kuna madereva wanatembelea full nyakati zote. Kwa madaladala ninq chojua ni switch za taa zinakua zimesha kufa ukiwasha taa inawaka full moja Kwa moja.
Wengine macho yamepungua nguvu so inabidi awashe full Tu.
Tafuta miwani ya kuendeshea usiku, ongeza bulb zenye Wats kubwa na kapime macho.
Huwa nabaki kusema tuta hili kaweka mtu asie na gari @##__&&&& zake! Gari ikikwaruza hadi utumbo unageuka! Hadi tumejifunza trick ya kupanda kiupandeupande. ILA Dar-Arusha, Dar-Dom sijapita tuta lolote gari ikagusa chini. Kilikuwepo kituta kimoja kabla ya kuingia Korogwe ILA wamekitoa kilikuwa kama Gogo la mnazi!Nimeicheki, ni proper merc grille. Inavutia. Jirani yangu ana 2011 E350, namwonaga anavyohenya kunegotiate barabara mbovu ya huku kitaa. Mita kama 200 tu kutoka lami ila ni mtiti haswa. Anatoka nalo mara moja moja sana, siku nyingine anatumia probox. Nadhani hayo ndio matumizi sahihi ya gari kama hizo.
Ukikaa humo mzee lazima utaijua idadi na aina ya matuta yote kwenye njia unazotumia. Kuna aina ya matuta yanagusisha gari chini na matuta mengine ni safe kuyapanda straight on. Usiwakasirikie tu makandarasi
Hao wanaotembelea full nyakati zote utafikiri wanawinda huwa nashindwa kuwaelewa. Huwezi kuwaletea shida wenzio wengi kisa wewe mtu mmoja kwa tatizo ambalo unaweza kulitatua.Mm huwa nazima zangu Kwa sekunde chache alafu nawasha full direct nikiona mbishi nakuletea goma huko huko.
Kuna madereva wanatembelea full nyakati zote. Kwa madaladala ninq chojua ni switch za taa zinakua zimesha kufa ukiwasha taa inawaka full moja Kwa moja.
Wengine macho yamepungua nguvu so inabidi awashe full Tu.
Tafuta miwani ya kuendeshea usiku, ongeza bulb zenye Wats kubwa na kapime macho.
Im sorry to say this lakini Bongo tunaishi tu ili mradi ndio maana ajali za hovyo hovyo ni nyingi.Hao wanaotembelea full nyakati zote utafikiri wanawinda huwa nashindwa kuwaelewa. Huwezi kuwaletea shida wenzio wengi kisa wewe mtu mmoja kwa tatizo ambalo unaweza kulitatua.
Mkuu yule jamaa alikula ngumi nzito..[emoji28][emoji28]Hahahahahha eti alichochewa Ngumi
Na kuna wahuni huko barabarani wanaachia full light, ukimuomba apunguze, wala hajigusi..Vyote viwili 😛😛😛...sababu ya kukwepa kusafiri usiku ni hii,nahisi uwezo wangu wa kuona usiku umepungua kwa kiasi kikubwa.
Hata Mimi nimeshangaa Subaru kuwa juu ya Toyota, hao wakina Honda, Hyundai na Kia sawa.Haiwezi kilingana mkuu, ila nimeshtushwa kidogo kuona Subaru Zilivyoicha Toyota...
Kama ilikuwa vanguard nyeupe tulikuwa ni sisi mkuuJana ilikuwa siku nyingine ya kuwatesa waJapan huko barabarani.. Daaah hawa team Japan ukiwaona wanavyongea humu ndani hutaamini kinachowatokea huko barabarani..
Mbele ilitangulia BM nyuma akinifata Merce E Class.. tumewagalagaza mpaka aibu. Kuna mmiliki mmoja wa Vanguard alijifanya kufata nadhani somo alilipata fresh na kama alifika salama nyumbani kwake lazima atafanya maamuzi magumu ya kutoka kwenye usafiri wa Asia na kuamia gari za Mzungu..
Tarehe 2/1???
Kama alikuwa ni yeye atakupa habari 😂😂Ilikuwaje mtanange ni kweli jamaa walikugalagaza?