Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Ndiyo maana naogopa sana ugomvi wa kurushiana ngumi...siwezi...
Mara ya mwisho kupigana nilikuwa class five..[emoji28][emoji28]

Siku moja nimekaa mahali nikaona dereva wa daladala ameparua IST ya mjeda bampa la mbele.....aisee yule dereva alichochewa ngumi..[emoji28][emoji28]

Na bado mwisho wa siku wakaongea na kufidiana gharama..
Hatari [emoji1][emoji1]
 
Ndiyo maana naogopa sana ugomvi wa kurushiana ngumi...siwezi...
Mara ya mwisho kupigana nilikuwa class five..[emoji28][emoji28]

Siku moja nimekaa mahali nikaona dereva wa daladala ameparua IST ya mjeda bampa la mbele.....aisee yule dereva alichochewa ngumi..[emoji28][emoji28]

Na bado mwisho wa siku wakaongea na kufidiana gharama..
Hahahahahha eti alichochewa Ngumi
 
Mimi siku hzi nna tatizo la kuendesha usiku town, zile taa za kumulikwa tukiwa tunapishana zinanizingua sana, kiasi siwezi kutembea zaidi ya 50 kph. Nakuwa na tension sana...ukizingatia gari yangu Taa zake kidogo zilishika ukungu kwa hyo sio kali sana kumulika barabara..

Hapa nisafishe taa au nikapime Macho? Kuna Raia wanakupiga full mpaka machozi yanatoka.
 
Mimi siku hzi nna tatizo la kuendesha usiku town, zile taa za kumulikwa tukiwa tunapishana zinanizingua sana, kiasi siwezi kutembea zaidi ya 50 kph. Nakuwa na tension sana...ukizingatia gari yangu Taa zake kidogo zilishika ukungu kwa hyo sio kali sana kumulika barabara..

Hapa nisafishe taa au nikapime Macho? Kuna Raia wanakupiga full mpaka machozi yanatoka.
Vyote viwili 😛😛😛...sababu ya kukwepa kusafiri usiku ni hii,nahisi uwezo wangu wa kuona usiku umepungua kwa kiasi kikubwa.
 
Mimi siku hzi nna tatizo la kuendesha usiku town, zile taa za kumulikwa tukiwa tunapishana zinanizingua sana, kiasi siwezi kutembea zaidi ya 50 kph. Nakuwa na tension sana...ukizingatia gari yangu Taa zake kidogo zilishika ukungu kwa hyo sio kali sana kumulika barabara..

Hapa nisafishe taa au nikapime Macho? Kuna Raia wanakupiga full mpaka machozi yanatoka.
Mm huwa nazima zangu Kwa sekunde chache alafu nawasha full direct nikiona mbishi nakuletea goma huko huko.

Kuna madereva wanatembelea full nyakati zote. Kwa madaladala ninq chojua ni switch za taa zinakua zimesha kufa ukiwasha taa inawaka full moja Kwa moja.

Wengine macho yamepungua nguvu so inabidi awashe full Tu.

Tafuta miwani ya kuendeshea usiku, ongeza bulb zenye Wats kubwa na kapime macho.
 
Mm huwa nazima zangu Kwa sekunde chache alafu nawasha full direct nikiona mbishi nakuletea goma huko huko.

Kuna madereva wanatembelea full nyakati zote. Kwa madaladala ninq chojua ni switch za taa zinakua zimesha kufa ukiwasha taa inawaka full moja Kwa moja.

Wengine macho yamepungua nguvu so inabidi awashe full Tu.

Tafuta miwani ya kuendeshea usiku, ongeza bulb zenye Wats kubwa na kapime macho.
MWingine unakuta inawaka moja,akiweka full ndio anapata mwanga kidogo. Halafu unakuta ni bulb tu ya kubadilisha.
 
Nimeicheki, ni proper merc grille. Inavutia. Jirani yangu ana 2011 E350, namwonaga anavyohenya kunegotiate barabara mbovu ya huku kitaa. Mita kama 200 tu kutoka lami ila ni mtiti haswa. Anatoka nalo mara moja moja sana, siku nyingine anatumia probox. Nadhani hayo ndio matumizi sahihi ya gari kama hizo.

Ukikaa humo mzee lazima utaijua idadi na aina ya matuta yote kwenye njia unazotumia. Kuna aina ya matuta yanagusisha gari chini na matuta mengine ni safe kuyapanda straight on. Usiwakasirikie tu makandarasi
Huwa nabaki kusema tuta hili kaweka mtu asie na gari @##__&&&& zake! Gari ikikwaruza hadi utumbo unageuka! Hadi tumejifunza trick ya kupanda kiupandeupande. ILA Dar-Arusha, Dar-Dom sijapita tuta lolote gari ikagusa chini. Kilikuwepo kituta kimoja kabla ya kuingia Korogwe ILA wamekitoa kilikuwa kama Gogo la mnazi!
 
Mm huwa nazima zangu Kwa sekunde chache alafu nawasha full direct nikiona mbishi nakuletea goma huko huko.

Kuna madereva wanatembelea full nyakati zote. Kwa madaladala ninq chojua ni switch za taa zinakua zimesha kufa ukiwasha taa inawaka full moja Kwa moja.

Wengine macho yamepungua nguvu so inabidi awashe full Tu.

Tafuta miwani ya kuendeshea usiku, ongeza bulb zenye Wats kubwa na kapime macho.
Hao wanaotembelea full nyakati zote utafikiri wanawinda huwa nashindwa kuwaelewa. Huwezi kuwaletea shida wenzio wengi kisa wewe mtu mmoja kwa tatizo ambalo unaweza kulitatua.
 
Wataalamu naombeni msaada juu ya hizi gari mbili
Kati ya Alteza na Subaru legacy ipi ni gari bora zaidi kwa mishe mishe za mjin namaanisha kuanzia bajeti ya kununua, ulaji wa mafuta, upatikanaji wa spea kwa bei nafuu na kuvumilia mikiki ya barabarani??
images%20(3).jpg
View attachment 2088873
 
Jana ilikuwa siku nyingine ya kuwatesa waJapan huko barabarani.. Daaah hawa team Japan ukiwaona wanavyongea humu ndani hutaamini kinachowatokea huko barabarani..

Mbele ilitangulia BM nyuma akinifata Merce E Class.. tumewagalagaza mpaka aibu. Kuna mmiliki mmoja wa Vanguard alijifanya kufata nadhani somo alilipata fresh na kama alifika salama nyumbani kwake lazima atafanya maamuzi magumu ya kutoka kwenye usafiri wa Asia na kuamia gari za Mzungu..
Kama ilikuwa vanguard nyeupe tulikuwa ni sisi mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom