Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

😂😂😂😂😂😂pole
Nimecheka sana🤣
 
Ng'ombe bana, nikisafiri unakuta gari imekolea halafu wapo pembeni wanakula majani huwa najiuliza hawa ng;ombe wakiamua kuvuka hapa patatosha kweli?!!
 
Sikatai utofauti wa handling kuwepo. Hili linajulikana dunia nzima. Mjapan hamfikii beberu kwa handling. Plus sina authority ya kucomment kuhusu hilo mpaka nimiliki chuma ya mjerumani au mzungu pia.

Ninachokataa ni kwamba gari za Japan kama hizi zimekuwa limited kwasababu haziwezi handle 260 wakati their european/american versions ambao wanashare the same parts wameachiwa.

In short: japanese can do 260 as well ukitoa limiter. Not as comfortably as BMWs obviously but safely enough to be allowed to get there.

Siukatai utofauti. It just that sometimes mnawaweka wajapani wote kwenye kapu moja afu mnatupa kwenye trash bila kuconsider kuwa kuna individualities ndani ya japanese pia.

Nimekumbuka kuna siku tulikuwa tunakandia subaru humu wakati jamaa mmoja kama sikosei The Wolf katoka kudodosha 35M kuchukua XT yake afu wahuni tunasema hamna kitu hapo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hihiiii
 
Naamini umeshapata motivation ya kuhamia hata Infiniti.
 
Kuna watu nawaambia kila mara, spare OG za Toyota zinakimbizana na za wajerumani wanakaza shingo.

Wengi wamezoea used za used ndo wanaona unafuu.
 
Kuna watu nawaambia kila mara, spare OG za Toyota zinakimbizana na za wajerumani wanakaza shingo.

Wengi wamezoea used za used ndo wanaona unafuu.
Nissan ukifunga spare siyo OG hutembei nayo, gari inaikataa, spare ukiyofunga inakufa tena. Ukifunga OG unasahau. Mpaka kwenye vitu vidogo kama fan belt, ukifunga famba baada ya mwezi inakatika tena.

Toyota inavumilia spare za kiwango cha chini nadhani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…