Ushaendesha haya:Mtoto wa nyoka ni nyoka tu. Toyota ni Toyota. Ni sawa na VW ni VW hata iwe Polo ina VW feel. Nashukuru Mungu nishaendesha Toyota, Nissan,Mitsubishi to their limits kwahio najua ninachoongea. On the other hand nimeendesha BMW,MB,VW,Audi,RR,Volvo,Citroen,Pijo na nyingine kwenye kundi hili nimeishi nazo. Kuna tofauti ndugu yangu from handling to braking. Tafuta mtu usafiri nae mwenye hizo gari utanielewa otherwise huwezi kuelewa. Na angalia usije kurudi safari ukaagiza ya kwako.
Hiyo Saab nimewahi kutana nayo Zambia inaunguruma kama simba ingawa haina facelift nzuri imekaa kibabe.Ushaendesha haya:
1. Vauxhall Insignia?
2. Saab 9-3 na 9-5?
Huu mstari upo kwenye bibilia.Binadamu tuko very creative, toka enzi na hata sasa
Ipi kati ya hizi?Hiyo Saab nimewahi kutana nayo Zambia inaunguruma kama simba ingawa haina facelift nzuri imekaa kibabe.
Duuh inawezekana asee maana Siyo burePunda hata Mimi nimesikia ni balaa. Wanasema na udogo ule ni mzito pia
Sure mkuu wenzetu kule wanazienjoy gari zao hata ligi zao wanazifanya kwa rahaSiku hizi mkuu mtu anaendesha gari tatu, boda boda mbili kushoto na boda boda nyingine mbili kulia.....Kuna wakati inafika ujuta kuishi Hapa Tanganyika..
Hatari sana mkuu huwa nawaonaga wadogo kiumbo kuliko ng'ombe kumbe ndiyo wazito kiasi hicho. No wonder wao ndiyo hutumika zaidi kwenye kubeba mamizigo mazito.Mtu akipata ajali huwa namsikitikia sana...
Lakini kuna ajali zinachekesha ., Nikisikia mtu kagonga ng'ombe, punda au mkokoteni huwa najisikia kucheka sana..[emoji119][emoji119][emoji1787][emoji1787]
Na punda ukimgonga na kigari kidogo, anajipukuta vumbi anaendelea kula majani, wewe unaenda garage..[emoji1787][emoji1787]
Duuh kwahiyo unakuwa kama Umegonga mti au ukutaNyama Yao ngumu Sana. Kuna watumishi wa govnnt waligomga punda njia ya Dom -iringa Miaka ya nyuma kidogo, hakutoka mtu.
Kama Samson alivyopigana na jeshi la watu 1000 kwa taya ya punda. Binadanu tungekuwa kama punda pengine idadi ya vifo vitokanavyo na ajali ingepungua kwa kiasi kikubwa sana.Niliwahi pewa hii story.
Zamani miaka kabla ya Yesu, watu ambao hawakuwa na silaha kama mapanga au mikuki walikuwa wanachukua mifupa ya punda, wanaichonga fresh wanaitumia kama silaha.
Mifupa na misuli ya punda ni migumu sana kwasababu kila siku anafanyishwa kazi. Hivi vigari vidogo havina mabati ya kuitawanya ile mifupa.
Ukigonga punda ni kama umegonga ukuta.
Hapo ndio unahitaji fog light.Pangekuwa na ukungu kama huu ambapo unaona mita 20 tu mbele je? Angeweza kutembelea full? Full kwenye ukungu inapunguza visibility.
Hii juzi hapo makambako
View attachment 2089737
Punda ana mifupa imara mno thats y!Hahaaa ila unaambiwa bora ng'ombe mkuu nasikia ukigonga punda lazima gari iharibike vibaya. Hadi leo najiulizaga wana nini punda sijawahi shuhudia gari ikigonga punda inakuwaje.
Maeneo ya mtera muhimu kuwa makini nishamkuta punda katikati ya road night kaganda wala hastuki ikabidi nimkwepe tu!Nyama Yao ngumu Sana. Kuna watumishi wa govnnt waligomga punda njia ya Dom -iringa Miaka ya nyuma kidogo, hakutoka mtu.
Mbweni wamejaa sana wenyeji wanawatumiaga kuvuta mikokoteni yenye mizigo inayoshushwa kwenye kile kibandari chao kutoka visiwani. Sema bahati nzuri wanakuwaga na watu wanawachunga ila vinginevyo tungeumia wengi maana kupishana nao barabarani ni kawaida hivyo inabidi uwe mpole.Maeneo ya mtera muhimu kuwa makini nishamkuta punda katikati ya road night kaganda wala hastuki ikabidi nimkwepe tu!
Duuh haifunguki! Infiniti gani?RRONDO Bavaria Extrovert mtongwe ISO M.CodD Karma Buyengwa JituMirabaMinne
Dubwasha la infinity limechekaza Toyo LC300 kibabe sanaaa, yani halijacheka na nyani hata kidogo
View attachment 2090272
Mjapan anaanza kuwa Mjerumani. Engine ndogo anaiwekea twin turbo.RRONDO Bavaria Extrovert mtongwe ISO M.CodD Karma Buyengwa JituMirabaMinne
Dubwasha la infinity limechekaza Toyo LC300 kibabe sanaaa, yani halijacheka na nyani hata kidogo
View attachment 2090272
Hatari sana hilo machine 😊😊Duuh haifunguki! Infiniti gani?
Sure, lipo kibabe sanaaaHio QX80 ni Y62 in disguise! 5.7 V8 engine. It's a beast.