Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hahahahaha gari ulikuwa unaendeshaje hadi unamgonga kiumbe wa mungu yani 😂😂😂 au uliingia highway ukiwa learnerDuuh pole mkuu mimi wakati najifunza niliwahi kugonga hadi ng'ombe wa watu kwenye kona ila cha kushukuru hakufa. Alianguka tu number plate ikamkata kidogo kwenye mguu.