Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Mara zote huwa wana maneno mazuri sana ila lete hio gari na ushahidi wako watakwambia sio sahihi na kukupa assessment Yao.
Kuna shida mahala, ila acha tupambane tu. Hata ushuru wa baadhi ya gari sio sahihi.. bora tungekuwa na kiwanda ndani ingekuwa sawa, kufanya ushuru juu.. ili kutubana tununue ya ndani
 
Kuna jamaa yangu kaisha anza nunu vitu, engine ilikufa sasa ameagiza engine ingine.. alichukua gari kutoka singapore
Singapore wanatabia kama za Kinondoni,Sinza na Magomeni hata ukinunua Toyota unakuwa mashakani, Kuna mtu alichukua Toyota Hiace Quantum yenye injini ya 1KD, injini ikaanza na tatizo la cylinder head.
 
Singapore wanatabia kama za Kinondoni,Sinza na Magomeni hata ukinunua Toyota unakuwa mashakani, Kuna mtu alichukua Toyota Hiace Quantum yenye injini ya 1KD, injini ikaanza na tatizo la cylinder head.
Nafikiri huwa wanatoa vitu vizima wana weka vibovu, maana unakuta chuma imesimama kishenzi kumbe washachomoa engine na gear box.. wanakuwekea vya mtego mtego. Ila watu nao washtuke.. wanaonywa sana kuhusu Singapore
 
Ajali ni kitu cha ajabu..[emoji38][emoji38][emoji38]...tukio la ajali huwa halidumu zaidi ya sekunde mbili, tatu at most..[emoji38][emoji38][emoji38]
Ila ukiamua kuelezea vizuri ilivyokuwa unaweza ukaandika kakitabu..[emoji119][emoji119]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila mommah bhana, aaaaah
 
Poleeeeh sana mommah [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mashamba ya chai barabara ya Njombe -Ludewa, kuelekea ziwa Nyasa.

Kuna mlima mmoja wameweka barabara ya zege wachina sasahivi, yani uko kama test tracks. Kona za kutosha kupima stability na straights za kutosha kupima msuli. Plus adrenaline junkies unawafaa maana kona zake japo ni pana ila kuna points nyingi tu ambazo ukikosea unaporomoka.

Naifananisha kwa utamu na ile ya Dodoma Babati, hasa mle mlimani ila hii pana zaidi na ina kona kali mithili ya Nyangoro.

Hii nchi tamu sana, pigeni trip wakuu

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…