Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Unaogopa shabaaa eeeh! 😎😎😎😎Hahaaaaaa, kuhama hapa napo ni kazi Sana. South kupigwa Shaba ni nje nje.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaogopa shabaaa eeeh! 😎😎😎😎Hahaaaaaa, kuhama hapa napo ni kazi Sana. South kupigwa Shaba ni nje nje.
Raha sana, una trade ukiwa na uhakikaHalafu hata Mimi hiyo style ya position trading naipenda mno. Unakaa unasubiri hata mwezi mzima bila kutrade. Ila pair ikiingia kwenye anga, liquidity provider analia. Hii style inakupa uhuru hata kwenda Shambani. Tuombe uzima.
Ginimbi si ilikuwa inajulikana kuwa utajiri wake ulitokana na mafuta? Forex ni tamu sana ukiijulia na ukiwa na capital ndefu!Sana tu Zim wapo kibao sana, hata ginmimbi kuna kipindi alikuwa anakataa utajiri wake kuhusishwa na FX.. wadau walikuwa kama wamekalili yoyote mwenye mawe wanajiongeza ninFX.... SA wapo wanyama wengi sana wa FX na wana pesa chafuu sana wabongo wengi huwa wanakimbia wanaenda zao kuishi dubai au SA.. kidogo tuna ukilitimba wa kufatana fatana.. watu kujua source ya pesa.
Hahaa bongo kufreeze accounts lazima [emoji38][emoji38]Na T wengi wa ule ukanda wana make sana kupitiani Nasdaq100 au SXP500 nahisi wana key zao.. hizi kwa wiki kutengeza $100,000 kama mtu ana capital ni kunusaaa. unakuta kijana ana tengeza profit mfululizo [emoji41][emoji2][emoji2][emoji2] acha tuambane na Kashaija72 na sie tushushe Rollys Royce sio SA tu.. ila lazima tuhame nchi.. bank zetu na taasisi zetu ukuda mwingi
Hivi una trade hizi index?Matokeo ya WTI, Nas100, SPX500, GE30, Us30
Dubai unahamia kama unaenda posta.Hahaaaaaa, kuhama hapa napo ni kazi Sana. South kupigwa Shaba ni nje nje.
hakikaDubai unahamia kama unaenda posta.
wanasikitisha sana na tunarudishana nyuma sanaHahaa bongo kufreeze accounts lazima [emoji38][emoji38]
😃😃 mafuta lakini pia walikuwa wana hisi na FX anapiga pia.. kwa mtu.. dada njoo nikupe mbinu 😎😎😎 uwe kama mu SA.Ginimbi si ilikuwa inajulikana kuwa utajiri wake ulitokana na mafuta? Forex ni tamu sana ukiijulia na ukiwa na capital ndefu!
German to US... Ilikua na1,100 Porsche sports cars, 189 super-luxury Bentleys etc. zote zinatumia full umeme🙂Duh! meli imetokea wapi
..ina maana bongo ukitrade fx, ukapata faida kubwa, sirikali ya thithiemu inakufuatilia..!?[emoji19]Na T wengi wa ule ukanda wana make sana kupitiani Nasdaq100 au SXP500 nahisi wana key zao.. hizi kwa wiki kutengeza $100,000 kama mtu ana capital ni kunusaaa. unakuta kijana ana tengeza profit mfululizo [emoji41][emoji2][emoji2][emoji2] acha tuambane na Kashaija72 na sie tushushe Rollys Royce sio SA tu.. ila lazima tuhame nchi.. bank zetu na taasisi zetu ukuda mwingi
Hehe na wengine wakawa wanadai jamaa freemason sijui anafuga joka kubwa ndani linatema pesa waafrica bana! Sawa nitakuja unipe mbinu mdogo wangu![emoji2][emoji2] mafuta lakini pia walikuwa wana hisi na FX anapiga pia.. kwa mtu.. dada njoo nikupe mbinu [emoji41][emoji41][emoji41] uwe kama mu SA.
Walitakaga hadi kupiga ban cryptocurrency kutumika bongo! Hawataki watu wengi watajirike nchi itashindwa kutawalika!..ina maana bongo ukitrade fx, ukapata faida kubwa, sirikali ya thithiemu inakufuatilia..!?[emoji19]
Kama ndivyo, mbona hii mchi ni ya ajabu sana.....vijana wanagraduate, ajira hakuna...wakijiajiri huko kwenye mitandao, nongwa..
🤣🤣🤣🤣 joka linatapika pesaa.. umaskini mmbaya sanaaHehe na wengine wakawa wanadai jamaa freemason sijui anafuga joka kubwa ndani linatema pesa waafrica bana! Sawa nitakuja unipe mbinu mdogo wangu!
Duh! magari mengi sana hayo na hiyo ni pesa ndefu sana..German to US... Ilikua na1,100 Porsche sports cars, 189 super-luxury Bentleys etc. zote zinatumia full umeme🙂
Sio hadi upate faida kubwa, tatizo linaanzia nahisi kwenye policy zetu kwenye taasisi za kipesa na sheria ambazo tumejiwekew. around 2016, 2017, na 2018 nilikuwa napata sana shida na CRDB hadi nikahamaga hiyo bank.. Ukifatilia wao mashaka yao yanaangukia kwenye policy na sheria zao.. ila taabu unapata wewe..ina maana bongo ukitrade fx, ukapata faida kubwa, sirikali ya thithiemu inakufuatilia..!?[emoji19]
Kama ndivyo, mbona hii mchi ni ya ajabu sana.....vijana wanagraduate, ajira hakuna...wakijiajiri huko kwenye mitandao, nongwa..
Hapa Tz tulizaliwa bahati mbaya halafu tunaishi makusudi...Hii serikali dhalimu sana...Walitakaga hadi kupiga ban cryptocurrency kutumika bongo! Hawataki watu wengi watajirike nchi itashindwa kutawalika!
Kazi kweli kweli...Fx ni biashara nzuri sana ya kuwakwamua vijana endapo nchi ingeweka taratibu nzuriSio hadi upate faida kubwa, tatizo linaanzia nahisi kwenye policy zetu kwenye taasisi za kipesa na sheria ambazo tumejiwekew. around 2016, 2017, na 2018 nilikuwa napata sana shida na CRDB hadi nikahamaga hiyo bank.. Ukifatilia wao mashaka yao yanaangukia kwenye policy na sheria zao.. ila taabu unapata wewe