Ni muda muafaka wa raia kumiminika Lake OilKuna kituo Chao huku kibada wanauza 2,490/-
Jamaa hajitambui kabisa huyo😅Mkuu unataka kusema Vanguard na Ractis ni Sawa? 30m Vs 10m ? Hata kiumbo Vanguard nzuri zaidi.
Ban nyingi ni za chuki binafsiJamaa anakula ban kila wiki sijui kwann.
Mkuu nipo hapa niliamua kujiongezea likizo ya week 2 zaidi ili Mods wafurahi kutokuwepo kwangu humu maana ndio lengo laoI hope sio ban ya Maisha so atarudi
Ni muda muafaka wa kutambua kuwa IST pia ni gari😅!Wazee wa road trip mtanunua IST
Mwendo wa soccer mom huo!Duh tutapunguza ila sio 70kph 😀😀😀
Kila speed ni nzuri hadi pale IST inapokupita kwa mbwembwe 😂Utaizoea utaona gari haikimbii.
Hahahahahahah ulimpa kipindi😅Na consumption nzuri. Kutoka Moro mpaka Musoma nimeenda 9.5 kmpl, nilikuwa naishi kwenye 130 na 140, mara moja moja akitaka mtu kuleta dharau ndo nilikuwa namaliza kisahani.
Kuna GRS200 iliniletea dharau jioni Karibu na Singida, akaomba ligi. Kuna jambo kajifunza.
Hahahahahah mzee ulikuwa unapasuka sio mchezo! Sema masaa 5 ni average ya 100KPH maana yake ulichangamsha mguu!Yani Moshi ni chap tu.
Last week saa 3 usiku nilikuwa Njia Panda, saa 8 kasoro nilikuwa mataa ya Mwenge.
Hamna bana nimetembea hio njia ya Dom juzi kati wengi mnatanua bila uoga yani gari inatanua iko 130KPH.Haha ila angalau Sisi wengine hatufanyi hivyo kwa lengo la kuoneshana ubabe
Kwa mchana mkeka ilikuwa lazima upewe yani mi ndio maana hao ma swine siwapendagi yani😅 ndio maana natakaga nitembee usikuHeri ningemalizia hizi km200 jana nikafika Musoma. Kiherehere changu kusafiri asubuhi nimeliwa fine mbili back to back zimepishana nusu saa.
Shikamooni wakurya, mmenikaribisha vilivyo kanda maalum
View attachment 2135114
Haka kanjia ukipita lazma ukutane na gari kweli😅 huo mnyama sio mchezo ulivyovimba
6 hrs ni normal mkuu umejitahidi!Chuma kimetua Moshi...Dar saa 0430, Moshi 1030
View attachment 2131617
Hamna sio kwa sasa mkuu! Ilikuwa awamu ya mzee ndio hela za watu walikuwa wanazitolea macho! Ila kwa sasa hali ni tulivu..ina maana bongo ukitrade fx, ukapata faida kubwa, sirikali ya thithiemu inakufuatilia..!?[emoji19]
Kama ndivyo, mbona hii mchi ni ya ajabu sana.....vijana wanagraduate, ajira hakuna...wakijiajiri huko kwenye mitandao, nongwa..
Ranger Rover mpya yenye taa za LED bands😅 aisee jamaa wanajua kututeka!Gari za kawaida tu kama brand new RR G wagon zinatosha.
Jamaa kajificha ili akunyooshe tu kama sniper
Hii gari kweli mzee
Ni hatari sana mzee gari zote hizo utakimbiaje kwa 250-300😃😃😃 hapa mzee naenda na Ferrari F12 Berlineta
Power: 730 hp at 8,250 RPM.
Torque: 509 lb-ft at 6,000 RPM.
Top Speed: 211 mph.
0-62 mph: 3.1 seconds.
Nitatumia masaa 4.. mwendo wangu utakuwa ni 250-300 😎😎😎
View attachment 2123941
Tuko pamoja mkuu, gari ni SUV bana hizi Toy Cars hapana😅Gari za hivi hazijawahi nivutia kabisa hata ziwe na specs za kutisha kiasi gani! Kwa Ferrari labda tuisubiri hiyo Purosangue!
Huko siwezi jogg ntaumia roho tu aisee😅Wakuu tupambane sana. Jioni at least mara tatu kwa wiki huwa nafanya jogging along Toure drive. Huku barabarani kuna watoto wa kihindi wanatoa carbon gari zao ni balaa. Kuna G55 mbili za 2021, cayenne GT, Infinity lile kama Y62 BMW M5 na RR ya 2019 hivi. Wanakimbizana hawa jamaa naishia kuvuta harufu ya coil tu