Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?


Mkuu Boiker , around how much tsh mpaka umeitia road hiyo ist?

Na je ule ukaguzi wa kipuuzi wa TBS bado unafanyika hapo bandari? ama wameshatii agizo la chief Hangaya la kufanyia ukaguzi kule kule Japan?

-Kaveli-
 
Mkuu Boiker , around how much tsh mpaka umeitia road hiyo ist?

Na je ule ukaguzi wa kipuuzi wa TBS bado unafanyika hapo bandari? ama wameshatii agizo la chief Hangaya la kufanyia ukaguzi kule kule Japan?

-Kaveli-

Nchi ngumu sana hii…
Nimepambana kimtindo imekata 14.5
TBS bado wanafanya yao sasa cjui maagizo ya Hangaya wao hayawahusu……

Si unajua tena na bei ya mafuta Tz ipo chini kuliko Marekan sahv[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Aisee nimepata sababu ya kupark kabisa😅
 
Ni kipigo tu 😅😅😅😅😅
 
Hahaha. Karibu tena mkuu.
 

Acha kabisa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…