monopoly inc
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 5,256
- 11,377
Kwa hyo safari inatakiwa uwe mashine ya nguvu km ford ranger hvNi kweli hizi road trips zitakuwa za shida sana,wese linatisha mno,Nami in 72hrs ninaanza safari ya kutoka mother city hadi bandari salama almost 6000kms, ila Nina uzoefu nayo sana,shida zitaanzia Zambia [emoji1268], na ninaikwepa Zimbabwe [emoji1269], bora kupitia [emoji1052] ingawa ni ndefu zaidi.
Mimi kwa route ya DAR-MBY - TNDM-MBY - IRI- DOM pamoja na mizunguko midogomidogo, nimeenda km 1800 approx,Duh nimemiss roadtrip ila kila nikichungulia bei ya wese nakuwa mpole...full tank moja 200,000/- na trip ya kawaida nahitaji tank mbili balaa tupu!
Yeah, ni 1.5LHio gari ndogo...jamii ya IST.
Not necessarily mkuu, few years ago,bibi wa 80yrs akiwa na Toyota Tazz yenye miaka 20,aliiendesha hii gari from mother city to London!,gari yeyote yenye good condition inafaa, n elewa wengi wametembea umbali huu,wengine wametumia baiskeli!,jaribu mkuuKwa hyo safari inatakiwa uwe mashine ya nguvu km ford ranger hv
Kwa hyo safari inatakiwa uwe mashine ya nguvu km ford ranger hv
Mimi kwa route ya DAR-MBY - TNDM-MBY - IRI- DOM pamoja na mizunguko midogomidogo, nimeenda km 1800 approx,
Nimetumia 470k TZS kwenye mafuta tu.
Bado nadaiwa DOM - DAR.
Unavyosema mother city unadhani kila mtu anapajua.Not necessarily mkuu, few years ago,bibi wa 80yrs akiwa na Toyota Tazz yenye miaka 20,aliiendesha hii gari from mother city to London!,gari yeyote yenye good condition inafaa, n elewa wengi wametembea umbali huu,wengine wametumia baiskeli!,jaribu mkuu
Goggle zipo mkuu, mwenye Nia y kufahamu atafahamu,Sawa na A town, Stone City,Green city hapa nyumbani!Unavyosema mother city unadhani kila mtu anapajua.
Lembeni to be exact.Ahaaa ukipita Same kuelekea lembeni au mwanga? Hii njia tamu sana haina vurugu
Duuh kwanini umeamua kuikwepa Zimbabwe, huko Botswana si utazunguka sana? Anyway utapitia Border gani, Pioneers Gate au Tlokweng?Ni kweli hizi road trips zitakuwa za shida sana,wese linatisha mno,Nami in 72hrs ninaanza safari ya kutoka mother city hadi bandari salama almost 6000kms, ila Nina uzoefu nayo sana,shida zitaanzia Zambia [emoji1268], na ninaikwepa Zimbabwe [emoji1269], bora kupitia [emoji1052] ingawa ni ndefu zaidi.
Duuh kwanini umeamua kuikwepa Zimbabwe, huko Botswana si utazunguka sana? Anyway utapitia Border gani, Pioneers Gate au Tlokweng?
umenikumbusha zile sharp corners za nyang'olo hill. nimekuwa nikipita hii barabara mara kwa mara ktk roadtrip zangu za iringa-dodoma/dodoma - iringa.Kutoka Ipogoro kwenda Dodoma kupitia Mtera ni almost 270km.
Barabara hii kiufupi "TULIPIGWA"
Shukraani mno kwa likes zako,border nitakayopitia ni Martin Drift, nitavuka pale na kulala kwenye road block kabla ya kuingia mbugani after Nata (Pana kituo cha kuzuia ugonjwa wa mifugo),early morning nikiondoka pale let's by 3am,definitely by 9am nitakua kazungula border na kuingia Zambia hii ni one stop border post, Zimbabwe [emoji1269] rushwa ni kubwa mno na wasumbufu hata ukiwa transit, na elewa Botswana [emoji1052] ukiwa na kila kitu above board, hutumii cent moja na huhitaji agent kuvuka mpaka,just you pay for TIP only, na pia ni safe country to drive omba tu usigonge wanyama wao.
Ni kweli kabisa mkuu, mpaka wa SA na Zimbabwe pale beitbrige ni vurugu mno tena za kishenzi, Botswana kumetulia ila inatakiwa paper work yako iwe above board, yes wanyama ni tatizo kubwa na ukiamua to drive at night jitahidi uwe sober na taa zako ziwe Safi na mwendo uwe wa makiniOohh sawa kuna border nilisikia hutakiwi kuvuka usiku sana sababu ya wanyama wengi mojawapo ni hiyo
Nilishangaa kuna border kule mwisho kuvuka ni saa kumi jioni wakati hizo nilizozitaja ni hadi saa sita usiku
Kweli Zimbabwe hasa Beitbridge usumbufu ni mwingi sometimes wanataka rushwa hata kama umejikamilisha
Madini yana zaidi ya ujanja unatakiwa pia uwe mafia katili, ukiishia level ya ujanja bado utalizwaUjanja wangu wote ni mweupe kabisa kwenye madini na vito vya thamani!
Zinatembea ila ni kama mbwa wa siting room kwa baadhi ya gari, ila kwa Raum ma IST lazima ifanye maajabunashangaa watu wanaozibeza hizo hilux mi naonaga zinatembea mno pamoja na kuwa ni diesel GD6
umenikumbusha zile sharp corners za nyang'olo hill. nimekuwa nikipita hii barabara mara kwa mara ktk roadtrip zangu za iringa-dodoma/dodoma - iringa.
nashauri serikali iboreshe hii barabara ili pamoja na mtumizi mengine, iwe kivutio kwa baadhi ya wasafiri hususani sisi tunaovutiwa na hizi kona.
View attachment 2250651
yah hiyo video nilipiga wakati wa kiangazi, ilikuwa around 2021.Hapa ulipita kiangazi. Ukipita kipindi cha mvua kuna Kuwa kwa Kinaoni hadi rahaaa