Mwaka wa 10 toka nifike kahama mara ya mwisho.Wiki iliyopita nilikuwa nipo Kahama na niliziona LC 300 kama 7 hivi za watu binafsi, kule Toyota amefungua branch kabisa.
Hizi utazioana ila sio RR 2021 au RR SVR kama njugu.. 😄😄😄 ukiweka ooh .. watu watakuja kusema mabovuWiki iliyopita nilikuwa nipo Kahama na niliziona LC 300 kama 7 hivi za watu binafsi, kule Toyota amefungua branch kabisa.
Nikionaga mwanamke anaijua vizuri manyo namuheshimu sana; anyway so we Mnyamwezi bado upo mkoani Tanga!? Sorry kwa kuchangia UZI wa zamaniMambo double R, uliadimika hadi nikajua unachukua PhD ya karantini bin korona 😅😅
Ukifika Mombo nipigie niteremke tufanye ligi kidogo kuelekea kaskazini zaidi. Niko na manual gear DKQ 🤪.
Asee kumejengeka mnoo mkuu, nimeona gari ya kila aina, zingine hata kuziona Dar ni adimu ila kule ukikaa kidogo zimepita.Mwaka wa 10 toka nifike kahama mara ya mwisho.
Inabidi nirudi nikatembee kidogo.
Range 2021 niliiona moja ya dark blue na ina jina la jamaa kabisa. Kiukwel nilijiona mnyonge sana na Subaru yangu. Crown ndio uchafu kabisa kama sare za shule.Hizi utazioana ila sio RR 2021 au RR SVR kama njugu.. [emoji1][emoji1][emoji1] ukiweka ooh .. watu watakuja kusema mabovu
😄😄😄 Tuishi nao humo humo mkuu.. hakuna namnaRange 2021 niliiona moja ya dark blue na ina jina la jamaa kabisa. Kiukwel nilijiona mnyonge sana na Subaru yangu. Crown ndio uchafu kabisa kama sare za shule.
Kahama ni pazuri kwa kiasi chake ila siyo sehemu ya kutishiana kwamba pamejengeka mno labda kama unalinganisha na miaka kumi iliyopita.Asee kumejengeka mnoo mkuu, nimeona gari ya kila aina, zingine hata kuziona Dar ni adimu ila kule ukikaa kidogo zimepita.
Itume safari ndefu halafu kunjua nafsi uone huo unaouita uchafu wa Crown mzeeRange 2021 niliiona moja ya dark blue na ina jina la jamaa kabisa. Kiukwel nilijiona mnyonge sana na Subaru yangu. Crown ndio uchafu kabisa kama sare za shule.
Wajerumani 2022 hawagusiki kirahisi unaweza kuta una nunua hizo LC300 mbili kama wa RR SVR 2022 .. 😄😄😄Bado lakini zina probability Kubwa ya kuanza kuzagaa kuliko wajerumani wengi wa 2010s and co
Hakuna namna kwa kweli.[emoji1][emoji1][emoji1] Tuishi nao humo humo mkuu.. hakuna namna
Sasa mkuu utalinganisha Kahama ya sasa na miaka 10 iliyopita? Mie sio mwenyeji wa huko ila kuna shughuli ya siku 2 ilinipeleka huko.Kahama ni pazuri kwa kiasi chake ila siyo sehemu ya kutishiana kwamba pamejengeka mno labda kama unalinganisha na miaka kumi iliyopita.
Wasalimie SUBMARINE HOTEL,GOOD VALLEY,kuna wale wenzangu wa kitimoto pale Meru Bar,
Piga kelele kwa Phantom yao.
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
Sijaidharau Crown, ila nmeelezea jinsi zilivyo kwa wingi huko.Itume safari ndefu halafu kunjua nafsi uone huo unaouita uchafu wa Crown mzee
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
Utaliwa kimasihara shauri yako.Nawasalimia mnao jadili ndingaz, waomba lift tupoo hapa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hamna siyo ninyi tu hapo nimemaanisha hata huko kwenye platforms nyingine watu wanamdharau sana mjapanUnapindisha mada. Sijaona mtu yeyote hapa aliedharau mjspan btw tunajadili hapa karibu wote tunaoendesha Japanese.
Nitafutie ka first year 1st edition nikupe Raum 😄😄😄Nawasalimia mnao jadili ndingaz, waomba lift tupoo hapa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio kweli kwamba mjapan ana dhaurika.. Huenda mnashindwa kuelewana tu mitazamo yenu..Hamna siyo ninyi tu hapo nimemaanisha hata huko kwenye platforms nyingine watu wanamdharau sana mjapan
Manual's the real deal manNik
ionaga mwanamke anaijua vizuri manyo namuheshimu sana; anyway so we Mnyamwezi bado upo mkoani Tanga!? Sorry kwa kuchangia UZI wa zamani
Achna na kitu inaitwa DHAHABU kaka, dhahabu inawapa jeuri sana ile watuAsee kumejengeka mnoo mkuu, nimeona gari ya kila aina, zingine hata kuziona Dar ni adimu ila kule ukikaa kidogo zimepita.
Haha tunaelewana mkuu ila unakuta kuna mwingine analinganisha magari unaona kabisa huyu ni mahaba tuSio kweli kwamba mjapan ana dhaurika.. Huenda mnashindwa kuelewana tu mitazamo yenu..