NewGapi
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 313
- 960
Inatofauti gani na zile za 200k?Mkuu hii jamaa alinifungia kwa Milioni 1, alianzia 1.1M
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inatofauti gani na zile za 200k?Mkuu hii jamaa alinifungia kwa Milioni 1, alianzia 1.1M
Mkuu utofauti upo mkubwa sana, functions ni zile zile ila ukubwa wa screen, fitting n.k nimejaribu kucheki ali express bei yake ni hii, na ndio niliyofungiwaInatofauti gani na zile za 200k?
Kuna case ya ziada huwa inauzwa around 50k to 70k kutegemea na dashboard.Hii ina fit in dashboard. Zile za 200/300 huwa zinaning'inia tu
Mkuu hio ni Crown. Hizo za 200/300k ndio hizo unaanza kuungaunga ILA hio ya 1m inafit perfectly. Zipo Hadi za lc200.Kuna case ya ziada huwa inauzwa around 50k to 70k kutegemea na dashboard.
Na inafit vizuri, nimefanya kwa Impreza na imekaa poa tu. Yani imefit vizuri, ilibidi kuondoa frame ya zamani
View attachment 2313337
Kubabeki, duhMkuu hii jamaa alinifungia kwa Milioni 1, alianzia 1.1M
Ufike salamaKutoka Rukwa to singida via Tunduma.
Location:Mita chache kufika ipogoro(iringa)
Maombi yenu wazee wenzangu wa Road trip.View attachment 2314068
Mpo vizuri.Bado amp na subwoofer hapo. Safari na music mkuu.
Hana pesa huyoGari mbovu kabisa hio-Alisikika Mtoyota mmoja akisema
Travel safely mkuuKutoka Rukwa to singida via Tunduma.
Location:Mita chache kufika ipogoro(iringa)
Maombi yenu wazee wenzangu wa Road trip.View attachment 2314068
Ahsante Kaka mkubwa Niko mpunguzi Mda huu Acha nikalale Dodoma kesho nayo ni siku.Ufike salama
Ahsante Sana mkuuTravel safely mkuu
Mkuu if possible, weka mrejesho wa hali ya barabara kati ya iringa na Dodoma, je it's possible to drive at night?,binafsi ni mwandeshaji wa usikuAhsante Sana mkuu
Most of times nasahau kuwasha or i have several phone calls to attend.Nimeacha zamani kubadili redio ya gari, ya sasa hivi imeharibika nahitaji android ila 1m kwa redio sio kidogo. Ina maana unasafiri bila redio/music ?
Na bila shaka mkuu una hand free kitMost of times nasahau kuwasha or i have several phone calls to attend.
I prefer taking/making phone calls on the road.
Hasa simu ndefu za kupiga story.