Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwani nyumbani kwako umeweka mziki wa aina na bei gani?kwa mfano mimi situmii muda home, muda mwingi ni kwenye utafutaji na muda wote nipo kwenye visafari japo vingi ni vya hapa hapa town...so kwakuwa starehe yangu ni mziki hamna namna nafanya kitu roho yangu inapendaWatu mpo na hobby.
Unatumia 1M kuweka radio kwenye gari?
Yeah. Loud speaker au naweka earphone sikio 1.Na bila shaka mkuu una hand free kit
Mara zote nakuwa mwenyewe.Pamoja na hand free, labda pia anasafiri mwenyewe.
Yangu ilikuwa imezingua pia. Ila kuitoa kuweka android haiwezekani, it seems iko deeply integrated na functions nyingine za gari.Nimeacha zamani kubadili redio ya gari, ya sasa hivi imeharibika nahitaji android ila 1m kwa redio sio kidogo. Ina maana unasafiri bila redio/music ?
Niliona yako on-board computer inadisplay kwenye screen ya TV/radio. Za Toyota zetu inadisplay kwenye cluster hivyo haiathiri kitu. Kubadili kwangu ni ngumu kidogo. Za bei rahisi zinaharibu Sura ya dashboard, zinazofit bei juu kwangu.Yangu ilikuwa imezingua pia. Ila kuitoa kuweka android haiwezekani, it seems iko deeply integrated na functions nyingine za gari.
Imefunguliwa watu wakachokonoa ICs zile sahizi inapiga kazi freshi na ina mziki mtamu kuliko hizi za kufunga.
Toyota mnafunga Android radio straight tu zile pin zinaingia ila Nissan ukichomoa Radio, Taa za ABS, SLIP, VDC OFF zinawaka na gauge ya mafuta haisomi na taa yake inawaka. Goodluck kuireplace na android [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screen hiyo hiyo ndio radio, AC, on-board computer na diagnosis. Na mafundi redio hawaelewi hiyo wanakuambia tutaforce itafanya kazi, we funga android. Nikawa nacheka kwa ndani. Ingekataa kutengenezeka ingebidi ninunue nyingine genuine nibadilishe.Niliona yako on-board computer inadisplay kwenye screen ya TV/radio. Za Toyota zetu inadisplay kwenye cluster hivyo haiathiri kitu. Kubadili kwangu ni ngumu kidogo. Za bei rahisi zinaharibu Sura ya dashboard, zinazofit bei juu kwangu.
Wameziba zile potholes za kutokea mtera kwenda Dodoma kwaiyo unaendesha Safi Tu mkuu.Mkuu if possible, weka mrejesho wa hali ya barabara kati ya iringa na Dodoma, je it's possible to drive at night?,binafsi ni mwandeshaji wa usiku
Thanks so much hope ur ok ,travel safely remember to drink lot of water, rest when you feels fatigue and enjoy our beautiful countryWameziba zile potholes za kutokea mtera kwenda Dodoma kwaiyo unaendesha Safi Tu mkuu.
Na labda safari ni fupi fupi...Pamoja na hand free, labda pia anasafiri mwenyewe.
Thanks Mungu mkubwa nimefika salama salmini mkuu.Thanks so much hope ur ok ,travel safely remember to drink lot of water, rest when you feels fatigue and enjoy our beautiful country
Ashukuriwe Mwenyezi Mungu kwa kukufikisha salama,welldone mkuuThanks Mungu mkubwa nimefika salama salmini mkuu.
Ahsante Sana mkuu tuko pamoja.Ashukuriwe Mwenyezi Mungu kwa kukufikisha salama,welldone mkuu
Kumbe bora utembelee benz ya mjapani tu maana almost consumption iko mule mule.8km/L mjini...mkoa kwasababu nakimbia sana naishiaga kupata 8 au 9km/L
Naona mwamba ndani ya benz ya mjapani😂😂😂Leo nimesafiri mpaka changanyikeni [emoji23][emoji23]View attachment 2309292
Hii gari inakula vizuri sana wese aisee, kweli umeme mwingi 😂😂😂Namalizia full tank nilioweka Dodoma jpili
View attachment 2312615