Wengine hata mchana tunacheza humo tu, cha msingi ujue tu wapi kofia nyeupe zinatega.. na mzigo unanusa tu mafuta.... consider speed vs RPMIla uwe na hela ya wese ya kuzidi maana wale
mipasuko yao lazma ikuchomee wallet. Wanagusa 14O-18O humo.
Ila mkuu kuna Ile crown ya 3.0L ina 252Hp kama sijakosea ni ya moto pia.Yeah kwa 2AZ body ziko heavy. Kati ya magari mengi ya Toyota, Crown is the fastest kwa kweli, ina smooth accelerations na ukitaka iwe kichaa inakuwa very wild in a matter of secs. Thats a 215Hp machine
Hawakukosea kuiita "ATHLETE" it lives up to its name.
Safi sana 😀😀Wengine hata mchana tunacheza humo tu, cha msingi ujue tu wapi kofia nyeupe zinatega.. na mzigo unanusa tu mafuta.... consider speed vs RPM View attachment 2319261
Hivi unajua ina 415Hp na +65Onm of torque? Anakatiza wapi huyo crown?Hii LC300 VX-R inapata ushindani mzuri tu kwa Majesta V(S200), inacheua 347HP, na 460Nm, hasa kama dereva anajua mahala pa bampa to bampa sema hizi Majesta ni chache, wengi wana Crown ANmthlete ambazo kwa L300 zinakaa mapema tu
Hio 252HP ni 3GR engine ila zile 4GR ndio 215HPIla mkuu kuna Ile crown ya 3.0L ina 252Hp kama sijakosea ni ya moto pia.
M nashangaa crown hata kunusa hanusi alafu lc 300[emoji16][emoji16]Hivi unajua ina 415Hp na +65Onm of torque? Anakatiza wapi huyo crown?
Hiyo ya Petrol ya Diesel haifikishi hiyo. Crown Majesta inaweza weka chalenge sio kwamba ina mkata mazima. Hiyo LC300 ipambane na LX600 ndio size yakeHivi unajua ina 415Hp na +65Onm of torque? Anakatiza wapi huyo crown?
Inatoa challenge hiyo Majesta yenye 347HP ( nimesema challenge ) na iso kwamba ni superior kwa LC300M nashangaa crown hata kunusa hanusi alafu lc 300[emoji16][emoji16]
Mimi ninayo hyo ya 215hp,siku nimegusa ya 3000cc niliona utofauti mkubwa,Ila nilichogundua 180km ndio tatizo mzgo ulitakiwa uwe zaidi ya hapo.Hio 252HP ni 3GR engine ila zile 4GR ndio 215HP
3gr hiyo mkuu, mchawi limiter tu hapo..Safi sana [emoji3][emoji3]
Namna hii ndio inatakiwa
Yeah diesel utainyoosha ila pia ina moto kuliko ile ya LC2OO VX-R ambayo Horses ni 278 tu ila mziki mnene.Hiyo ya Petrol ya Diesel haifikishi hiyo. Crown Majesta inaweza weka chalenge sio kwamba ina mkata mazima. Hiyo LC300 ipambane na LX600 ndio size yake
Waste of energy/power! 25-30sec kisahani kimeisha!Mimi ninayo hyo ya 215hp,siku nimegusa ya 3000cc niliona utofauti mkubwa,Ila nilichogundua 180km ndio tatizo mzgo ulitakiwa uwe zaidi ya hapo.
Hata hizi majesta V8 zina Hp kubwa lakini kisahani hakiendani na hyo configuration ya engine.
3GR ni nyepesi zaidi. Inatembea mno yani sema mchawi ni 189 kph ndio mwisho ila dawa ni kuondoa hicho kikwazo tu. Ikipatikana garage wanayoondoa hio limiter hakuna crown ambayo inashindwa handle 25O KphMimi ninayo hyo ya 215hp,siku nimegusa ya 3000cc niliona utofauti mkubwa,Ila nilichogundua 180km ndio tatizo mzgo ulitakiwa uwe zaidi ya hapo.
Hata hizi majesta V8 zina Hp kubwa lakini kisahani hakiendani na hyo configuration ya engine.
SiKu ukisukuma kifua cha 3GR hutatamani tena 4GR maana ni nyepesi kuliko kawaida.Safi sana 😀😀
Namna hii ndio inatakiwa
Sijui walifikiria nini hawa wajapan wanamauzi kuna wakati,ni Sawa na Harrier 2.4L wakaweka gearbox ya 4 speed daaaah aisee.Waste of energy/power! 25-30sec kisahani kimeisha!
Daah kwakweli aisee,Hivi hii process unakuwaje?haina complecations zozote?3GR ni nyepesi zaidi. Inatembea mno yani sema mchawi ni 189 kph ndio mwisho ila dawa ni kuondoa hicho kikwazo tu. Ikipatikana garage wanayoondoa hio limiter hakuna crown ambayo inashindwa handle 25O Kph
Haina mkuu, ni kidude unakiunga kwenye control box ili ku bypass limiter signals.Daah kwakweli aisee,Hivi hii process unakuwaje?haina complecations zozote?
Okay Sawa mkuu,Mimi nikahisi kuna vitu itabidi uongeze vingine upunguze .Haina mkuu, ni kidude unakiunga kwenye control box ili ku bypass limiter signals.