Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Halafu zile speed traps za porini zinatia hasira mno,ila zile corners ni lazima utambue the slow ones na fast ones, bila kutambua lazima utaingia mtoni,slow corners breaks firm kabla ya kuingia kwenye corners, ukibreaks to late na ukaingia kwenye corner na break kuna hatari ya ku lock tyres, hapo Uta lose control ya gari na straight mtoni
Nyinyi ndio wale mwenzio akiovateki na wewe unafuata nyuma. Udereva mbaya sana. Unawezaje kuendesha kwa akili ya mtu mwingine usiemjua?
 
View attachment 2318634

Trip za usiku ziheshimiwe na watu wote, zitabaki kuwa juu

Nilitoka Dodoma 1915 nikafika hiyo point ambayo naihesabiaga mwisho wa safari @ 0118

Hayo ni masaa 6 Dodoma to Dar, wastani wa kawaida sana 85kmph na 9.5kmpl

Ingekuwa mchana bado una masaa mawili barabarani ya usumbufu. Na vyeti.
Raha sana usiku uwe na taa nzuri tu. Utafanikwa yani vizuri mno tu sasa ona umetembea 85 bila bugudha yani steady speed ya 1OOkph
 
Nyinyi ndio wale mwenzio akiovateki na wewe unafuata nyuma. Udereva mbaya sana. Unawezaje kuendesha kwa akili ya mtu mwingine usiemjua?
Nooo mkuu overtaking it's a ifferent game plan pale udereva bora wa kila driver unakua applied, ila kwenye straight line visibility 100m ahead ohoooo mkuu unaunga tu, kuwa pathfinder ni cheo kikubwa ndani ya convoy, anaposimama ili as spend a penny, wote tunasimama!
 
Hio gari niliiona Tabata sheli mchana wake, ile mashine ni VX-R lazma ingewakalisha tu. Moto wake sio wa kitoto. Ilikuwa imekaa mkao wa kwenda ikiwa na prado nyingine 2.
Zimefika mzee,za dosi mmoja wa Kitwe zile ,moja imetoka leo Jumanne chini ya usimamizi wake Ally White,saizi atakuwa anaitafuta Iringa huko.
 
Nooo mkuu overtaking it's a ifferent game plan pale udereva bora wa kila driver unakua applied, ila kwenye straight line visibility 100m ahead ohoooo mkuu unaunga tu, kuwa pathfinder ni cheo kikubwa ndani ya convoy, anaposimama ili as spend a penny, wote tunasimama!
Cheerleader anatakiwa anyooshe goti sema msiachane sana.
 
Dakawa.png

Dakawa hapo, semi trailer inawakisha cargo ya mahindi, corns popping all over
 
Huwa wanawapiga fine? Maeneo mengi naona barabara zimeyuyuka kwasababu ya magari yanayoungua.
Pigwa fine na taasisi unazo zijua, usiombe kuangukia mikononi mwa Tanroad, utalia au utaacha gari. Na fine zao ni kwa dollar tu, na fine kila siku unayochelewa kulipa hela. Uje ujaribu hata kumwaga oil na gari barabarani alafu wakuotee.
 
Back
Top Bottom