ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Wabongo hawakosi SOLUTION
Hapa ni checkpoint ya traffic, askari anasimamisha magari na kuna raia anaonekana anashikana mikono na konda wa kila basi linalopita. Nadhani wanasalimiana kupeana heri ya safari