Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Hii ni ya moto balaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna mwamba aliwahi kutunyoosha mbaya sana na mark x ya 260kph tukiwa kwenye bmw x3, ilikukwa kipande cha kutoka mafinga kuitafuta makambako. Hiyo mark ilikuwa IT na ni usiku jamaa akawa anaomba na mark x yake mshikaji wangu alikuwa anadrive akasema huyu hapenyi hapa. Alichotufanya alituosha tukiwa 220kph na alipotea. Tumekuja kumkuta jamaa makambako puma pale, ikabidi tushuke kumcheki maana hutukuamini ile show aliyofanya. Kuja kucheki ubaoni ana 260kph...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…