National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Kuna crown nimeichukua nilikuwa natamani kama kuna mchongo nisajili kwa namba A 😀😀😀😀 sijaisajili na si subiri namba EMtu anayejua gari hawezi fata namba, muhimu ujue mtu anayekuuzia huwa ana treat vipi gari. Kama hohe hahe wengi hawafanyi service kwa
Wakati. Gari inakuwa imechoka. Sasa mtu ana gari 4 za maana anakuuzia moja imenyooka eti kisa namba C ya mwaka 2012 uache ukanunue D ya mwaka 2002?😂😂😂