National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Kuna crown nimeichukua nilikuwa natamani kama kuna mchongo nisajili kwa namba A 😀😀😀😀 sijaisajili na si subiri namba EMtu anayejua gari hawezi fata namba, muhimu ujue mtu anayekuuzia huwa ana treat vipi gari. Kama hohe hahe wengi hawafanyi service kwa
Wakati. Gari inakuwa imechoka. Sasa mtu ana gari 4 za maana anakuuzia moja imenyooka eti kisa namba C ya mwaka 2012 uache ukanunue D ya mwaka 2002?😂😂😂
Diesel war.Diesel power!
Ni 2AZ (four cyls), inategemea na gari ambayo umezoea kutumia chief, huenda ina power kuliko Aphard (2AZ). Maana kuna watu wanasema Crown (4GR) ni nzito kutokana na magari wanayotumia.Mkuu ni Alphard ya six cylinders au hii yenye four cylinders?kama yenye four Mimi naionaga nzito sijui labda mazoea yangu.
😂😂😂😂😂😂😂 hio kitaalamu inaitwa Tactical Overide, kuwachanganya washabikiKuna crown nimeichukua nilikuwa natamani kama kuna mchongo nisajili kwa namba A 😀😀😀😀 sijaisajili na si subiri namba E
Ni kwamba umejitoa muhanga boss. [emoji23]Inategemea na ujasiri wa dereva, mfano mi nikiwa na vxr range rover lazima ataisoma namba
Crown ni nzito kama una gari yenye kifua kikubwa zaidi na sports. Kama gari ndio hizi hizi za 170-0 HP hamna kitu kinachoisumbua crown unless ziwe na turbo na superchargers.Ni 2AZ (four cyls), inategemea na gari ambayo umezoea kutumia chief, huenda ina power kuliko Aphard (2AZ). Maana kuna watu wanasema Crown (4GR) ni nzito kutokana na magari wanayotumia.
Ni mwendo wa namba A tu sasa hivi hata za michongo 😀😀😀.😂😂😂😂😂😂😂 hio kitaalamu inaitwa Tactical Overide, kuwachanganya washabiki
A za mchongo za wanaharakati wa kaunda suit nyeusiNi mwendo wa namba A tu sasa hivi hata za michongo 😀😀😀.
Kweli kabisa. Hio Alphad unaiona inakimbia kwasababu ya gari unazotumia.Ni 2AZ (four cyls), inategemea na gari ambayo umezoea kutumia chief, huenda ina power kuliko Aphard (2AZ). Maana kuna watu wanasema Crown (4GR) ni nzito kutokana na magari wanayotumia.
Mkuu upewe Prado model ya 2012 namba C au prado massawe ya 1998 inayochomokaga ball joint namba DZ?DZX ya mwaka 2000 hehehee
Hata ikiwa na turbo kama ni chini ya 200hp haifui dafu.Crown ni nzito kama una gari yenye kifua kikubwa zaidi na sports. Kama gari ndio hizi hizi za 170-0 HP hamna kitu kinachoisumbua crown unless ziwe na turbo na superchargers.
Wahuni wengi siku hizi wanazo, mawasiliano tu na wahusika wa tra, kuna zile gari ambazo zimekatwaA za mchongo za wanaharakati wa kaunda suit nyeusi
[emoji13][emoji13][emoji13] KitengooA za mchongo za wanaharakati wa kaunda suit nyeusi
Kweli, hii hata kuna poti mmoja aliniambia wakikushtukia watakusumbuaHii itakusumbua.....alisikika afande mmoja akisema.
Imekuwa kama trend unakuta gari iko mstari ila namba ABKWahuni wengi siku hizi wanazo, mawasiliano tu na wahusika wa tra, kuna zile gari ambazo zimekatwa