Hahahahaha kwahio dereva alimimina moto kiuhakika 😂😂😂Boss alikuwa haendeshi alimpanga dereva mapema akapunzike. Yeye aliendesha mchana kwenye mizunguko take. Na gari ndani Ina ka fridge aliweka castle lager zake alizibonyeza mbili akalala.
Sasa mituta ya nini highway yani bongo wakandarasi wana ukichaa mno. Njia inajazwa matuta na zebra crossing badala ya kuweka vivuko na madaraja ya kuvushia raia side A to BTuta ndani ya freeway sijui engineers wetu wanafeli wapi, halafu inaonekana hawa engineers wote hapa nchini thesis zao ni kuhusu matuta kwenye freeways, mituta ya mikumi national park ni upuuzi mtupu, mkeka wa iyovi tutas mpaka porini!,down ya mafinga Ile tuta zile zinaua suspension za gari ni craze
Coaster huwa wanafukia rasta tu za makambako zile matuta ya mikumi yamewekwa upya ama?Kwa coaster ina utata...sijui huyo jamaa alikuwa anaendeshaje especially vile vipande vyenya matuta, maana mitaa ya Iringa barabara imewekwa tutaz za kutosha
Tuta ndani ya freeway sijui engineers wetu wanafeli wapi, halafu inaonekana hawa engineers wote hapa nchini thesis zao ni kuhusu matuta kwenye freeways, mituta ya mikumi national park ni upuuzi mtupu, mkeka wa iyovi tutas mpaka porini!,down ya mafinga Ile tuta zile zinaua suspension za gari ni craze
Coaster huwa wanafukia rasta tu za makambako zile matuta ya mikumi yamewekwa upya ama?
Sawa mkuu ila kuishi kwa kufuata sheria tulizojiwekea ndio msingi hapa, freeways hakutakiwi kuwe na wanyama, pedestrians even bodaboda na mipaka yake ni lazima iheshimiwe,na bottom line NO tutas kwenye freeways, jenga fixed speed cameras,na pale mikumi national park kungejengwa speed zinazo Pima muda unaotumia kusafiri from one point to another, kuna mtu alijaribu kujenga pale hizi camera pale Ruvu darajani, ila kawaida yetu watu wakapiga helaTatizo sio Tanroads, tatizo ni sisi wenyewe kukimbilia kujenga pembezoni ya barabara kuu...
Hivyo kiusalama inabidi waweze hizo mambo kuepusha ajali na vifo...
Pale kuna limit hata hivyoTuta za Mikumi lazima upunguze mwendo...lazima
Zile ni uchafu,zilitakiwa zisiwepo pale, wanyama wengi bado wanagongwa pale na wengi ni wadogo wadogo kama swala, science ingetumika kuliko nguvuTuta za Mikumi lazima upunguze mwendo...lazima
Itakuwa kuna muda anajiachia na kuna muda anajisahau kumwaga moto.He he una hakika ulikuwa unatembea haswa? Maana kwa utembeaji wa kilometre 45O ulitakiwa uzifute kwa masaa 4 tu yani Msata ilitakiwa saa 193O uwe ushafika hapo kama kweli ulipasuka mwanzo mwisho.
4GR mashine kubwa mzee baba umefelije, Dar-Moshi haina malori sana [emoji23]
Mkuu una mashine kali ila unatembea kifaza sana.Huyo hesabu imempiga chenga. Nimetumia 6hrs driving.
Hivi haiwezekani kutia wavu mle hata mfupi tuZile ni uchafu,zilitakiwa zisiwepo pale, wanyama wengi bado wanagongwa pale na wengi ni wadogo wadogo kama swala, science ingetumika kuliko nguvu
Wakipunguza mtawaua sanaUtawanyima uhuru wanyama wetu, pia kule porini ni kwao sisi tumewaingilia na vyombo vyetu. Ila fine ya kugonga mnyama wapunguze kwa kweli.
Ni yaleyale hayajabadilishwaCoaster huwa wanafukia rasta tu za makambako zile matuta ya mikumi yamewekwa upya ama?
Sorry nili underestimate kuna member humu kasema ni almost 420kmDuh Moshi-Msata 300km?
Wavu hapana mkuu maana sisi binadamu ndio tumewangilia kwenye mazingira yao ila tunaweza ishi kwa pamoja,nimeona pale Kasane, Botswana wanyama wapo mjini kabisa ila wana corridors zao na muhimu mno right of the way ni yao, corridor nyingine muhimu ipo mlangoni kabisa unavyotoka Botswana kuingia zambia, kabla ya pacha za kwenda Zimbabwe na zambia kuna wild animals corridor pale.Hivi haiwezekani kutia wavu mle hata mfupi tu