National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Huenda ni escort hao wale wa E 1 ๐๐๐1.5hrs Msata to Mwenge! Au hujaelewa? In total Dar-Moshi nimetumia 6hrs. Nimeosha 50kph zote. Anaesema anatumia 5hrs siamini kabisa hasa hizo Toyota za kawaida.
Kama umeamua liwalo na liwe na unakifua kipana na huogopi kuingia kituo cha mafuta wala trafic hiyo una masaa matano umepaki maeneo unakula mdudu safii ๐๐๐Dar-Moshi jumla ni kitu kama 543km according to
maps.
Forester hamna kitu kele mingi tuu๐๐๐๐๐๐ ningekucheka sana, kwa Crown inavyochomoka vile sioni kokote kwa mtu mwenye 15Ohp kukusumbua ikiwa utaamua kumyoosha. Subaru EJ2O ina nguvu ila sio kama inavyokuwa hyped. Hata mtu mwenye 1.8L ya Toyota kama 2ZZ-GE anaweza kumfua Forester vizuri tu. 2ZZ inafua 18OHp.
Huwa jioni nina tendency ya kutembea njia ya Makumbusho hadi Victoria and back. Mambo ninayoona kwenye Crown acha watu wazinunue tu.
Hahahaha kijana wetu anaogopa kufikisha mshale kwenye 18O" angleKama umeamua liwalo na liwe na unakifua kipana na huogopi kuingia kituo cha mafuta wala trafic hiyo una masaa matano umepaki maeneo unakula mdudu safii ๐๐๐
Umri umemtupa mkono ๐๐๐๐ acha apige mwendo wa kifaza tuHahahaha kijana wetu anaogopa kufikisha mshale kwenye 18O" angle
HahahahahUmri umemtupa mkono ๐๐๐๐ acha apige mwendo wa kifaza tu
Sheria inasemaje?Tatizo sio Tanroads, tatizo ni sisi wenyewe kukimbilia kujenga pembezoni ya barabara kuu...
Hivyo kiusalama inabidi waweke hizo mambo kuepusha ajali na vifo...
Sheria inasemaje?
Reserve ya barabara inatakiwa iweje?
Mi huwa siwaonei huruma watu wa aina hiyo.
Siwagongi.Sasa mkuu ukigonga mtu au mifugo, si na wewe unaweza poteza uhai...
Barabara nzuri na yellow line ipo yeeee!,T1 yellow line ipo wapi?Tanganyika View attachment 2324695
Mbambabay (nyasa)...Barabara nzuri na yellow line ipo yeeee!,T1 yellow line ipo wapi?
Welldone barabara inaonekana ipo Safi sana,ila tuitunze na tusisubirie iharibike ndio tukurupuke tena kuitengenezaMbambabay (nyasa)...
Out of ppicWavu hapana mkuu maana sisi binadamu ndio tumewangilia kwenye mazingira yao ila tunaweza ishi kwa pamoja,nimeona pale Kasane, Botswana wanyama wapo mjini kabisa ila wana corridors zao na muhimu mno right of the way ni yao, corridor nyingine muhimu ipo mlangoni kabisa unavyotoka Botswana kuingia zambia, kabla ya pacha za kwenda Zimbabwe na zambia kuna wild animals corridor pale.
Mkuu habari , kusafirisha gari toka south kuja bongo garama kias gani,? Gari ni toyota hiluxWavu hapana mkuu maana sisi binadamu ndio tumewangilia kwenye mazingira yao ila tunaweza ishi kwa pamoja,nimeona pale Kasane, Botswana wanyama wapo mjini kabisa ila wana corridors zao na muhimu mno right of the way ni yao, corridor nyingine muhimu ipo mlangoni kabisa unavyotoka Botswana kuingia zambia, kabla ya pacha za kwenda Zimbabwe na zambia kuna wild animals corridor pale.
Ngoja nikupe mfano kutegemea na hali halisi, Toyota hilux sc 2.4L:Fuel (Diesel)tank yake 80L, ukiendesha vema unaweza Pata 800kms yaani full tank inaweza kukutoa Dar hadi Mbeya, na kati ya jhb na Dar ni kama 3400km,means unahitaji 4full tanks, nitakupa makisio in zar, unahitaji 8000zar za Diesel, TIP thr Botswana single trip 500zar,kazungula bridge toll 500,agent pale na road toll,carbon tax estimate 1300,kwa hiyo ukiwa na 10,500zar zinatosha, nimeacha paper work na duty pale tunduma osbpOut of ppic
Mkuu habari , kusafirisha gari toka south kuja bongo garama kias gani,? Gari ni toyota hilux
Zar tuambie ni SA rands ๐๐๐๐Ngoja nikupe mfano kutegemea na hali halisi, Toyota hilux sc 2.4L:Fuel (Diesel)tank yake 80L, ukiendesha vema unaweza Pata 800kms yaani full tank inaweza kukutoa Dar hadi Mbeya, na kati ya jhb na Dar ni kama 3400km,means unahitaji 4full tanks, nitakupa makisio in zar, unahitaji 8000zar za Diesel, TIP thr Botswana single trip 500zar,kazungula bridge toll 500,agent pale na road toll,carbon tax estimate 1300,kwa hiyo ukiwa na 10,500zar zinatosha, nimeacha paper work na duty pale tunduma osbp
Ipo vizuri sana sema ina kona sana, malori ya makaa ya mawe ndo yataharibu hi barabara...Welldone barabara inaonekana ipo Safi sana,ila tuitunze na tusisubirie iharibike ndio tukurupuke tena kuitengeneza
Ni vema ikajengewa road tolls ili zipatikane fedha za kui maintainsIpo vizuri sana sema ina kona sana, malori ya makaa ya mawe ndo yataharibu hi barabara...
Yes zar ni rands, upo sahihi kabisa mkuuZar tuambie ni SA rands ๐๐๐๐