Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

😂😂😂😂😂😂 ningekucheka sana, kwa Crown inavyochomoka vile sioni kokote kwa mtu mwenye 15Ohp kukusumbua ikiwa utaamua kumyoosha. Subaru EJ2O ina nguvu ila sio kama inavyokuwa hyped. Hata mtu mwenye 1.8L ya Toyota kama 2ZZ-GE anaweza kumfua Forester vizuri tu. 2ZZ inafua 18OHp.

Huwa jioni nina tendency ya kutembea njia ya Makumbusho hadi Victoria and back. Mambo ninayoona kwenye Crown acha watu wazinunue tu.
Forester hamna kitu kele mingi tuu
 
Wavu hapana mkuu maana sisi binadamu ndio tumewangilia kwenye mazingira yao ila tunaweza ishi kwa pamoja,nimeona pale Kasane, Botswana wanyama wapo mjini kabisa ila wana corridors zao na muhimu mno right of the way ni yao, corridor nyingine muhimu ipo mlangoni kabisa unavyotoka Botswana kuingia zambia, kabla ya pacha za kwenda Zimbabwe na zambia kuna wild animals corridor pale.
Out of ppic
Wavu hapana mkuu maana sisi binadamu ndio tumewangilia kwenye mazingira yao ila tunaweza ishi kwa pamoja,nimeona pale Kasane, Botswana wanyama wapo mjini kabisa ila wana corridors zao na muhimu mno right of the way ni yao, corridor nyingine muhimu ipo mlangoni kabisa unavyotoka Botswana kuingia zambia, kabla ya pacha za kwenda Zimbabwe na zambia kuna wild animals corridor pale.
Mkuu habari , kusafirisha gari toka south kuja bongo garama kias gani,? Gari ni toyota hilux
 
Out of ppic

Mkuu habari , kusafirisha gari toka south kuja bongo garama kias gani,? Gari ni toyota hilux
Ngoja nikupe mfano kutegemea na hali halisi, Toyota hilux sc 2.4L:Fuel (Diesel)tank yake 80L, ukiendesha vema unaweza Pata 800kms yaani full tank inaweza kukutoa Dar hadi Mbeya, na kati ya jhb na Dar ni kama 3400km,means unahitaji 4full tanks, nitakupa makisio in zar, unahitaji 8000zar za Diesel, TIP thr Botswana single trip 500zar,kazungula bridge toll 500,agent pale na road toll,carbon tax estimate 1300,kwa hiyo ukiwa na 10,500zar zinatosha, nimeacha paper work na duty pale tunduma osbp
 
Ngoja nikupe mfano kutegemea na hali halisi, Toyota hilux sc 2.4L:Fuel (Diesel)tank yake 80L, ukiendesha vema unaweza Pata 800kms yaani full tank inaweza kukutoa Dar hadi Mbeya, na kati ya jhb na Dar ni kama 3400km,means unahitaji 4full tanks, nitakupa makisio in zar, unahitaji 8000zar za Diesel, TIP thr Botswana single trip 500zar,kazungula bridge toll 500,agent pale na road toll,carbon tax estimate 1300,kwa hiyo ukiwa na 10,500zar zinatosha, nimeacha paper work na duty pale tunduma osbp
Zar tuambie ni SA rands 😂😂😎😎
 
Back
Top Bottom