Jamaa mbishi kisa yeye hajashuhudia,namshangaa au anapanda haya mabasi ya sasa hivi(ya mikeka)likifika saa tano kutoka mwanza huona maajabu[emoji23][emoji23]Unaweza ukawa Tomasso lakini hivi vitu vipo, 500km kwa around 5hrs unakwenda vizuri kabisa. Tulikuwa tumeongozana na Hilux D4D, inatembea balaa. XT sio mashine ya kuchezea, siku nyingine tumetoka Tukuyu saa 9:30 asubuhi, saa 1.00 tulikuwa Iringa tunapata breakfast.
Kuna siku nimepanda IT, tumetoka Misugusugu saa 5.30 usiku, by 12.30 tulikuwa Nanenane Mbeya. Watu wanatembea mkuu.
[emoji23][emoji23]eti D4D haina mwendo au alipanda hilux ya 5L akajua zote ziko slow?!Jaribu siku moja ndio utakuja kusema
Madaba pale sitapasahau hahahahaNimpigwa tochi 2 songea to madaba, moja nimetoa ya kubrashia viatu na nyingine nimekula umeme(cheti)
Bwana mdogo nimeendesha gari zina mwendo kuliko hizo unazofikiria wewe. Acheni uongo. Kuna gari za kwenda Dar-Moshi 5hrs sio hivyo vigari vyenu. Kuna mtu kasema alikuwa na lc200 na mwingine disco 5 hao wala siwashangai sio nyinyi mniletee fix za wish sijui Ops uende Moshi 5hrs.Jamaa mbishi kisa yeye hajashuhudia,namshangaa au anapanda haya mabasi ya sasa hivi(ya mikeka)likifika saa tano kutoka mwanza huona maajabu[emoji23][emoji23]
There is no way utatembea 136KMs kwa saa 1.Mmeanza kushtukiana sasa. Nasubiri wa Dar-Tanga 2hrs.
Yoooooo without cremora!!!!Mzee nilitaka nikutetee ila kwa swala la kuniambia Msata hadi segera unatembea kwa 1 Hour hio naona ni Africafe coffee kabisa.😂😂😂
Inawezekana kama mkeka umetulia na hauna jam na kama unachuma chenye kifua kipana, Kuna siku nilishatembea kwa seed 140-220 hadi namalizia safari, hiyo siku nakumbuka ilikuwa jumapili hakukuwa na trafic njia nzima na road ilikuwa nyeupe kama niliandaliwa vile, nilipunguza mwendo sehemu tatu tu. safari nzima na mwendo unapunguza ile kwa kunyunyiza tuThere is no way utatembea 136KMs kwa saa 1.
Hio Dar-Chalinze tu ni 102kms ila estimates ni 2hrs straight.
Inawezekana na gari gani unatumia. Labda alikuwa na VX-R kwenye matuta anapita na 100+kph kwingine 200+kphInawezekana kama mkeka umetulia na hauna jam na kama unachuma chenye kifua kipana, Kuna siku nilishatembea kwa seed 140-220 hadi namalizia safari, hiyo siku nakumbuka ilikuwa jumapili hakukuwa na trafic njia nzima na road ilikuwa nyeupe kama niliandaliwa vile, nilipunguza mwendo sehemu tatu tu. safari nzima na mwendo unapunguza ile kwa kunyunyiza tu
Tulikuwa tumeongozana sio kwa lengo la kupitana, na tulifika wote town. Ila kama unadharau hilux D4D, aisee bado hujatembea.Kama kipimo chako ni D4D hakuna mwendo. Been there done that. Prado 150/Hilux diesel zote huwa hazinchuki dakika 2 kuzichakaza.
Hakuna mahali nimeidharau. Ila haina mwendo kama wewe unavyodhani. Nishazichapa sana hizo Hilux ni kawaida tuTulikuwa tumeongozana sio kwa lengo la kupitana, na tulifika wote town. Ila kama unadharau hilux D4D, aisee bado hujatembea.
Kuzichapa haina maana hazitembei... nimeshuhudia ikigonga 170kph bila shida kabisa.Hakuna mahali nimeidharau. Ila haina mwendo kama wewe unavyodhani. Nishazichapa sana hizo Hilux ni kawaida tu
Cc ISO M.CodD
Huko ni 173kmSegera -Chalinze ndio 174km?
Kwa hio speed average itakuwa 13O au zaidi. Atleast unaweza kuwa ndani ya mudaInawezekana kama mkeka umetulia na hauna jam na kama unachuma chenye kifua kipana, Kuna siku nilishatembea kwa seed 140-220 hadi namalizia safari, hiyo siku nakumbuka ilikuwa jumapili hakukuwa na trafic njia nzima na road ilikuwa nyeupe kama niliandaliwa vile, nilipunguza mwendo sehemu tatu tu. safari nzima na mwendo unapunguza ile kwa kunyunyiza tu
Hilux watu wanaichukulia poa, ikiwa na 1KD inatembea tena ikiwa turbo charged huwa haisinzii milimani inapanda na kushuka kama tambarare.Tulikuwa tumeongozana sio kwa lengo la kupitana, na tulifika wote town. Ila kama unadharau hilux D4D, aisee bado hujatembea.
Kwahio unaweza kuiweka kwenye ligi za 2/3/4GR?Hilux watu wanaichukulia poa, ikiwa na 1KD inatembea tena ikiwa turbo charged huwa haisinzii milimani inapanda na kushuka kama tambarare.
Gari ya 17OHP sio ya kinyonge highway hasa mtu akiikalia vizuri. Kuipata 18Okph ni muda mchache tu.
Humo kwa GR series one on one drag race 1KD haiwezi imezidiwa nguvu ila kwa michezo ya tailing na kukimbizana highway still ina power. Sio ya kuibeza. Engine za kichovu ni 3RZ na 2TR.Kwahio unaweza kuiweka kwenye ligi za 2/3/4GR?