Hii hata ukiwa na Mark X unakaa 🤣🤣🤣
Kumbe ilikunyoosha vizuri tuV6 ishawahi kunikomesha hio siisahau.
Mpaka upate hiyo yenye setup ya 260, maana nyingi hata diff yake haiko designed kwenda above 190kphMark X ya 26O ubaoni unamkalisha tu
Sasa mkuu kama basi kabla ya tochi ziliweza kufika Mbeya kwa masaa tisa,OPA yenye 1.8L/2.0L inashindwaje ku-cover interval ya km 500 kwa huo muda?Ugumu wa sasa ni kwenye ubize wa barabara lakini gari za sasa nyingi ziko vizuri kuliko za zamani.Bwana mdogo nimeendesha gari zina mwendo kuliko hizo unazofikiria wewe. Acheni uongo. Kuna gari za kwenda Dar-Moshi 5hrs sio hivyo vigari vyenu. Kuna mtu kasema alikuwa na lc200 na mwingine disco 5 hao wala siwashangai sio nyinyi mniletee fix za wish sijui Ops uende Moshi 5hrs.
Sawa mkuu.Sasa mkuu kama basi kabla ya tochi ziliweza kufika Mbeya kwa masaa tisa,OPA yenye 1.8L/2.0L inashindwaje ku-cover interval ya km 500 kwa huo muda?Ugumu wa sasa ni kwenye ubize wa barabara lakini gari za sasa nyingi ziko vizuri kuliko za zamani.
Nashangaa wanavyozidharau,hizo pick up za generation ya sasa bila kujali brand(TATA excluded) si za kuchukulia poa ni hatari!hata mitsubishi L200 zitakustaajabisha.Zile ngoma zinatembea mkuu... kuna jamaa namjua alitoka Mwanza saa 6 mchana, akafika Dodoma saa 12 jioni, walikuwa wanawahi site kabla ya jua kuzama! Zile mashine ni noma sana.... ingawa hazifiki kwa Amarok [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Walikufanyaje mkuu hebu tupe vitu hapa 😁😁😁Jana maeneo ya kibaigwa lc 200 vxr na discovery 4 zimenipa raha sana kama wapo humu salam zao
Tata ni ujinga wa gari 😂😂😂Nashangaa wanavyozidharau,hizo pick up za generation ya sasa bila kujali brand(TATA excluded) si za kuchukulia poa ni hatari!hata mitsubishi L200 zitakustaajabisha.
Hebu nisaidie hilo mkuu, iko siku ntaweka record 😆 maana gari iwe stable tu speed yeyote unatembea.Sasa mkuu kama basi kabla ya tochi ziliweza kufika Mbeya kwa masaa tisa,OPA yenye 1.8L/2.0L inashindwaje ku-cover interval ya km 500 kwa huo muda?Ugumu wa sasa ni kwenye ubize wa barabara lakini gari za sasa nyingi ziko vizuri kuliko za zamani.
Walikuwa wanyooshana discover nyuma lc mbele[emoji81] nilikuwa nawachungulia tu maana kuwafata siwezi.Walikufanyaje mkuu hebu tupe vitu hapa [emoji16][emoji16][emoji16]
Kaka acha kabisa.... nimewahi kuongozana na L200 za Total, zile DLV series; ni moto balaa, nilikuwa natembea na mwendo huu, lakini jamaa bado namuona nyuma yangu 😂 😂 😂 😂Nashangaa wanavyozidharau,hizo pick up za generation ya sasa bila kujali brand(TATA excluded) si za kuchukulia poa ni hatari!hata mitsubishi L200 zitakustaajabisha.
[emoji119][emoji119]Yeah kwa 2AZ body ziko heavy. Kati ya magari mengi ya Toyota, Crown is the fastest kwa kweli, ina smooth accelerations na ukitaka iwe kichaa inakuwa very wild in a matter of secs. Thats a 215Hp machine
Hawakukosea kuiita "ATHLETE" it lives up to its name.
Ntahakikisha niko na mwanariadha aka "ATHLETE"Utakufa wewe kwa kutafuta rekodi zisizo na tuzo.
Mwenzio alikuwa na 220kph labdaKaka acha kabisa.... nimewahi kuongozana na L200 za Total, zile DLV series; ni moto balaa, nilikuwa natembea na mwendo huu, lakini jamaa bado namuona nyuma yangu 😂 😂 😂 😂
View attachment 2327626
[emoji16][emoji16] ange nock injiniHio spacio mkuu ulijiaminije kuchomoka nayo hivyo.
Mwenzio alikuwa na 220kph labda
Forester hiyo SG5 XT - version ya kwanza... Spacio hata 140kph sitakiHio spacio mkuu ulijiaminije kuchomoka nayo hivyo.
Mwenzio alikuwa na 220kph labda
Kwa kuwa huwa hatupo wote, sina haja ya kukaza misuli ya kichwa kibishana na wewe. Ukitaka kujua kama inawezekana au laa.. Na wewe jaribu.Mzee nilitaka nikutetee ila kwa swala la kuniambia Msata hadi segera unatembea kwa 1 Hour hio naona ni Africafe coffee kabisa.[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sawa mjerumani sirudii tena.