Uzuri Wabongo sio rigid,watatafuta gari ingine yenye unafuu watakomaa nayo. Wakipandisha wanahamia ingine.11M+ what a joke? Tujiandae kupanda punda for real! TRA wakishaona gari zinaagizwa kwa wingi ndipo changamoto inapoanzia.My worst fear ni pale watakapoanza kudeal na biashara ya spare parts kwa kuitoza kodi kubwa.
Mkuu TRA wanasema kuna gari zimeshuka kodi,umeshazifahamu?Uzuri Wabongo sio rigid,watatafuta gari ingine yenye unafuu watakomaa nayo. Wakipandisha wanahamia ingine.
Sawa mkuu ngoja na mimi nijaribu kuangaliaNilizoangalia zimepanda sijui zilizoshuka ni zipi. Ngoja niingie tena kwenye calculator Yao.
Mkuu samahani, TRA huwa wanatumia vigezo gani kukadiria spare parts used.11M+ what a joke? Tujiandae kupanda punda for real! TRA wakishaona gari zinaagizwa kwa wingi ndipo changamoto inapoanzia.My worst fear ni pale watakapoanza kudeal na biashara ya spare parts kwa kuitoza kodi kubwa.
Hii kitu nilikua sijaifikiria mkuu,you got a point.11M+ what a joke? Tujiandae kupanda punda for real! TRA wakishaona gari zinaagizwa kwa wingi ndipo changamoto inapoanzia.My worst fear ni pale watakapoanza kudeal na biashara ya spare parts kwa kuitoza kodi kubwa.
Tayari wameshazipandisha
Mkuu sina uelewa mzuri sana kwenye hili-natumai wenye uelewa watalisemea vyema.Mkuu samahani, TRA huwa wanatumia vigezo gani kukadiria spare parts used.
Na mimi naona dalili za madalali kupiga pesa kuliko hata TRA,ni mwendo wa kuuziana used za kibongo bongo kwa sana.TRA wanachokitafuta watakipata soon,
Wao badala waje na njia bora za kuleta ahueni ya kodi ili watu walipe kwa wingi, wao wanakomaa na kuongeza kodi .
Mara sijui kodi ya kitanda kwa watalii....watalii wakienda Kenya TRA mtachukia..?
Kodi za magari wanapandisha...wengi watauziana magari ya mikononi..
Tutafufua zile gari za zamani tuziweke barabarani.
Hawa jamaa wanaweza anza kuongeza tozo la transfer ya kuuziana magari mkononi wakiona watu hawanunui sana japan 😁 😁 😁 .Kama wanachaji vitanda hata siwaaminiNa mimi naona dalili za madalali kupiga pesa kuliko hata TRA,ni mwendo wa kuuziana used za kibongo bongo kwa sana.
😃😃😃 sasa hapo inabidi kurudi enzi za yesu(kutumia Punda) au kama vipi watu watakua hawabadili majina kwny kadi ya gari ila siku kikinuka itafahamika mbele kwa mbele tu.Hawa jamaa wanaweza anza kuongeza tozo la transfer ya kuuziana magari mkononi wakiona watu hawanunui sana japan 😁 😁 😁 .Kama wanachaji vitanda hata siwaamini
Hakuna jambo hatarishi kama kununua gari lenye Cc nyingi awamu hii,manake linaweza kukugeuza wakala wa mapato ya serikali hasa kwenye kodi ya mafuta na bado unakuwa huna uhakika kama hiyo tozo itaongezwa au lah! ni very risk project kwa haya mazingira ya sasa-Nilikuwa nataka ninunue mojawapo ya gari lenye 6 cylinder ila for now it's a big no na wala sishauri mtu.Ni swala la mda tu mtaanza kuona watu wanapak magari nyumbani bila kupendaTRA wanachokitafuta watakipata soon,
Wao badala waje na njia bora za kuleta ahueni ya kodi ili watu walipe kwa wingi, wao wanakomaa na kuongeza kodi .
Mara sijui kodi ya kitanda kwa watalii....watalii wakienda Kenya TRA mtachukia..?
Kodi za magari wanapandisha...wengi watauziana magari ya mikononi..
Tutafufua zile gari za zamani tuziweke barabarani.
Hawa jamaa kuna kitu kidogo sana wanashindwa kuelewa,Wakitujengea mazingira wezeshi ya kuagiza na kumiliki magari na watanzania tulio wengi tukaweza kuyamudu na kuyatumia katika kutekeleza majukumu yetu ya kila siku,serikali itaweza kupata mapato mengi inayokusanya kupitia tozo ya kwenye mafuta achilia mambo mengi.Sasa wakieweka matozo makubwa na kila mtu akaamua kupark gari nyumbani au kutonunua si ni hasara kwao?TRA wanachokitafuta watakipata soon,
Wao badala waje na njia bora za kuleta ahueni ya kodi ili watu walipe kwa wingi, wao wanakomaa na kuongeza kodi .
Mara sijui kodi ya kitanda kwa watalii....watalii wakienda Kenya TRA mtachukia..?
Kodi za magari wanapandisha...wengi watauziana magari ya mikononi..
Tutafufua zile gari za zamani tuziweke barabarani.
Wanamkamua ng'ombe sana mpk atatoa damu na mwishowe atakufa,hata yale maziwa kidogo hawatayapata.Hawa jamaa kuna kitu kidogo sana wanashindwa kuelewa,Wakitujengea mazingira wezeshi ya kuagiza na kumiliki magari na watanzania tulio wengi tukaweza kuyamudu na kuyatumia katika kutekeleza majukumu yetu ya kila siku,serikali itaweza kupata mapato mengi inayokusanya kupitia tozo ya kwenye mafuta achilia mambo mengi.Sasa wakieweka matozo makubwa na kila mtu akaamua kupark gari nyumbani au kutonunua si ni hasara kwao?
Kitakachotokea hizo gari walizopandisha bei watu hawatanunua. Watz wengi kwenye magari wanaangalia unafuu kuliko mapenzi na gari.Wanamkamua ng'ombe sana mpk atatoa damu na mwishowe atakufa,hata yale maziwa kidogo hawatayapata.
Mafuta, Vipuri, Services, Car WashHawa jamaa kuna kitu kidogo sana wanashindwa kuelewa,Wakitujengea mazingira wezeshi ya kuagiza na kumiliki magari na watanzania tulio wengi tukaweza kuyamudu na kuyatumia katika kutekeleza majukumu yetu ya kila siku,serikali itaweza kupata mapato mengi inayokusanya kupitia tozo ya kwenye mafuta achilia mambo mengi.Sasa wakieweka matozo makubwa na kila mtu akaamua kupark gari nyumbani au kutonunua si ni hasara kwao?
Hilo nalo kweli, yawezekanaUna uhakika gani hakuchukua brand new? Ila kuna watu hawana misele au wanatumia sana gari za ofisi/kampuni.
Kuna jamaa moja aliniambia eti ukiwasha taa to hi aisomi, nikajarubu, buku 5 yangu ukaenda[emoji23][emoji23]Kama ni kweli.. umeuza mechi tayari [emoji3][emoji3]