Definitely mkuu msimu huu mna gari nzuri na bahati ipo upande wenu, Ferrari kuna races 🏁 🏎 ila tukaboronga, sometimes with wrong mbinuMwendo wa kupokezana vijiti.
Kuna wakati Lewis alikuwa anachukua almost kila race mpaka wakamchoka.
Sahivi anakutana na ushindani wa hatari. Hata team mate wake Russel nae anaanza kumuacha mbali kidogo.
Ferrari wana vijana hatari Charles Lecrec na Carlos Sainz. Hawa ndo nawaogopa kwa sasa ila Redbull tupo njema podium lazima tupande kila mechi.
Dereva nae ni hatari.Definitely mkuu msimu huu mna gari nzuri na bahati ipo upande wenu, Ferrari kuna races [emoji469] [emoji964] ila tukaboronga, sometimes with wrong mbinu
Yamekuwa mengi mengi kidogo sasa hivi. Sijui ndio ya serikali au vipenyo au watu binafsi 🤠🤠🤠Leo nimeona LC300 GR Sport namba STM!!
Best road stretch in Tz.Naanza kuitafuta sameView attachment 2349736
Welldone mkuu travel safely, na shukraani mno kwa hizi picha, maana pictures zinarudisha back memories mnoNaanza kuitafuta sameView attachment 2349736
Ujapita kama unaenda chato kutokea kahama.. Ule mkeka achaaaa kabisaaaa.. Kitu kimenyooka barabara ni standard hasaa no tuta no shimoBest road stretch in Tz.
Kile kipande hata kama una gari yenye 340kmh, ndio pa kumaliza kisahani ni kirefu hakina picha picha..Kwasababu umepita kote nakuelewa.
Je kina umbali wa km ngapi?,yaani kutoka kahama hadi chatoKile kipande hata kama una gari yenye 340kmh, ndio pa kumaliza kisahani ni kirefu hakina picha picha..
Si mchezo! Napanga road trip ya kwenda Kigali. Nitaiona hiyo njia na kutoa ushuhuda.Ujapita kama unaenda chato kutokea kahama.. Ule mkeka achaaaa kabisaaaa.. Kitu kimenyooka barabara ni standard hasaa no tuta no shimo
Same moja hio?Mdogo mdogoView attachment 2349823
Hii round about ya wapi?Mdogo mdogoView attachment 2349823
Ndio mkuuSame moja hio?
Umeendesha vizuri sana.Nimefika salama [emoji120]View attachment 2349920View attachment 2349921