Ajabu mkuu Yani kipande Chenye lami mikumi_ruaha the Ruaha-mang'ula vumbi kuna seem nimeisahau ulifika ndo kuna lami ukivuka apo adi ifakara kibaoni pale round about vumbiNilifanya kazi Ifakara kama miaka 10 iliopita.
Barabara ilikuwa kimeo sana. Mpaka leo watu wanasema haijakamilika.
Ajabu sana.
Una muda mrefu ujapita hii njia. Japo bado sehumu kubwa kuna vumbi. Ruaha Mang'ula mpaka kiberege almost 70% ni lami. Ukitoa kilami uchwara cha Sululu mpaka Signal. Ujenzi unaendelea toka Signal kuunga IfakaraAjabu mkuu Yani kipande Chenye lami mikumi_ruaha the Ruaha-mang'ula vumbi kuna seem nimeisahau ulifika ndo kuna lami ukivuka apo adi ifakara kibaoni pale round about vumbi
Mkuu pls sio hivyo kabisa, uzi huu sio wa wenye magari pekee, uzi huu ni wa wote na wanaosafiri kwa public transport ndio Safi zaidi,maana picha zako zitakuwa pana zaidi, picha za abiria ndani ya bus, picha za abiria wakipata mlo, changamoto za kusafiri na bus na faida zake, na road trip kwa bus ni safi sana kuliko hizi za private, karibu sana mkuuNaendelea kusoma comments za wenye magari😊
Mkuu tupia picha za mabus, barabara zake, etc etc ni safi sanaWale tunaosafiri na mabasi helloowww ✋✋!!
Naona kwa mbaali kuna Toyo, by the way hii daraja naijua ila sijawahi pita usiku.Watu KAZI WA night to night Niko Ruaha hapa kilombero sasa kuitafuta DSM via kilombero-mikumi then one way to joto city.View attachment 2367092
Pole ila sasa hivi sehemu kubwa unatembea kwenye lami, mara ya mwisho kupita route hiyo lini?Huwa nachoka hiyo route [emoji4][emoji4] nahisi ijumaa natakiwa huko
Pole ila sasa hivi sehemu kubwa unatembea kwenye lami, mara ya mwisho kupita route hiyo lini?Huwa nachoka hiyo route [emoji4][emoji4] nahisi ijumaa natakiwa huko
Nimepita mwezi wa sita, kidatu kuna rami? Maana pale panaumiza sana hadi unafika mahenge vumbi to vumbi, wale wakandalasi sijui wanakwama wapi, hii wiki naenda huko tenaPole ila sasa hivi sehemu kubwa unatembea kwenye lami, mara ya mwisho kupita route hiyo lini?
Kule kuna shida, kuna mkandalasi Rccc kama sikosei kitambo anazunguka zunguka tu, sijui halipwi au kuna shida ganiNilifanya kazi Ifakara kama miaka 10 iliopita.
Barabara ilikuwa kimeo sana. Mpaka leo watu wanasema haijakamilika.
Ajabu sana.
Mchele wanauzaje hapo chief?Nipo moro pia mkuu nimekuja kuusaka mchele siunajua saivi ni dili dsm nipo ifakara hapa.
Wakuu msaada tutani, ipi njia iliyo bora kidogo ya kufikia Mahenge then ujiunge na T1 kuelekea Mbeya?Nimepita mwezi wa sita, kidatu kuna rami? Maana pale panaumiza sana hadi unafika mahenge vumbi to vumbi, wale wakandalasi sijui wanakwama wapi, hii wiki naenda huko tena
Nimeenda mala kadhaa mahenge, huwa nasikia kuna njia ila sijawai itumia mkuu, huwa naishia mahenge na kurudi nilipotoka, ila sidhani kama ni barabara ya lamiWakuu msaada tutani, ipi njia iliyo bora kidogo ya kufikia Mahenge then ujiunge na T1 kuelekea Mbeya?
Kutoka Dar,unachepuka wapi kwenda mahenge kama umetoka Dar na T1?Nimeenda mala kadhaa mahenge, huwa nasikia kuna njia ila sijawai itumia mkuu, huwa naishia mahenge na kurudi nilipotoka, ila sidhani kama ni barabara ya lami
Mie huwa bakula njia ya mikumi, paka roundabout nakula kushotoKutoka Dar,unachepuka wapi kwenda mahenge kama umetoka Dar na T1?
Kuanzia geti la maliasili kama unaenda Ifakara unatembea hadi sanje kama sijakosea unakutana na lami, toka hapo Sanje hadi Mang'ula ni mkeka. Yeah kuna vipande vya barabara vumbi kwa kilometa chache mkandarasi bado yupo kazini na mwendo wa kobe hata mimi sielewi anakwama wapi.Nimepita mwezi wa sita, kidatu kuna rami? Maana pale panaumiza sana hadi unafika mahenge vumbi to vumbi, wale wakandalasi sijui wanakwama wapi, hii wiki naenda huko tena
Mkuu ungepita upunguze uchovu kidogo hapa ruaha wadau tupoWatu KAZI WA night to night Niko Ruaha hapa kilombero sasa kuitafuta DSM via kilombero-mikumi then one way to joto city.View attachment 2367092