Msitubague wadada jamani 😂
Mm natoa msaada gari ikichemsha.
Ilichemsha vichakani na maji hakuna.
Wacha nizunguke Kwa nyumba za watu ,nazo ziko mbali mbali..saa 4 tu wanaogopa kufungua milango.
Huku milima ya lukumbulu huwa tunaomba kulia na kusepa, labda zinakuwa hazina hela muda huo ndo maana wanaturuhusu mkuu....Wakuu wa Road trip nani alishakutana na Msafara wa wale jamaa wa B.O.T?
Ilinikuta juzi kati, jamaa hawatembei sana na hawakuruhusu ku overtake.
Wanagari lao lina spika kabisa ukiwakaribia wanakutahadharisha kutoku overtake na usikae karibu.
Ni balaa
Yeah! Inawezekana zikiwa hazina pesa hata lile gari la spika nyuma huwa halipo.Huku milima ya lukumbulu huwa tunaomba kulia na kusepa, labda zinakuwa hazina hela muda huo ndo maana wanaturuhusu mkuu....
Ila hii nchi...
Hivi kufunika hapa inahitaji msaada kutoka Ulaya, au ni viongozi tu hawawajibiki...
Hilo shimo huwa linanikera sana lipo pale France Corner Arusha...
Mkurugenzi wa jiji, meya na wengineo wanakula tu viyoyozi ofisini..View attachment 2387394
Na some times najiuliza meneja wa TANROAD Mkoa ana mipango gani?ndio kwanza wameweka taa yaani ndio mwisho wa upanuzi wa njia za mjini wakati morogoro ni hub ya mikoa mingi.Njia mbovu Kwa Moro sasaivi nafikili ndo ile mkuu 100k hamna lami.
Bwana mtekelezaji angekuepo nafikiri angeanza mipango ya kulitanua kama wami.Naona kwa mbaali kuna Toyo, by the way hii daraja naijua ila sijawahi pita usiku.
Kwenye hivi vyombo unaweza kuta dereva ndio mwoga.Nissan hapa ameidhalilisha toyota vibaya mno
Sehemu yenyewe tuliyokuwepoWe mdada mrembo...
Fanya hapo 'jikoni' papigee maji ya pressure aisee, si kwa hilo vumbi atiii
Kwahiyo ulikuwa hujui kufanya nini?Mwaka 2014 nilikuwa natoka Iringa naenda Mbeya, nikapanda IT gari aina ya Noah dereva alikuwa amechoka kuendesha, akaniomba niendeshe gari nikamwambia sijui kuendesha, ikabidi tuendelee na safari na kweli nilikuwa sifahamu kuendesha gari. Nikajilaumu kwa nini sijui kuendesha, kuna wakati alikuwa anasimamisha gari na kutoka nje ya gari ili kupunguza uchovu.
Sasaivi jeHata kujua kama ni automatic au manual sijui[emoji1787][emoji1787]
Jamaa alikuwa anakwenda hadi 140km/h
Nikamwambia asivuke 120km/h
Kaka we acha tu...Nimeliona juzi.
Kwenye picha halitishi kama ukiliona live.
Ni kubwa si mchezo.
Na trafiki wapo tu hapo.
[emoji28][emoji28][emoji28]utakauka kwa sababu chini kumejaa maji taka yanayotoka kwenye magorofa ya wahindi hukoTafuteni mgomba muupande hapo...
Mkuu hizi signs za police state,hakuna sheria ya kukataza hayo,kuna mtu alitugeuza mazuzuWakuu wa Road trip nani alishakutana na Msafara wa wale jamaa wa B.O.T?
Ilinikuta juzi kati, jamaa hawatembei sana na hawakuruhusu ku overtake.
Wanagari lao lina spika kabisa ukiwakaribia wanakutahadharisha kutoku overtake na usikae karibu.
Ni balaa
Natarajia kujifunzaSasaivi je
Tangu Enzi izo mkuu bado TU.Natarajia kujifunza
Mkeka wa wapi?Huu Mkeka umenyooka [emoji119]
Ng'ambo ni Malawi
Una umri gani chief?Natarajia kujifunza
Mpemba- Isongole boda ya Malawi kwa upande ule.Mkeka wa wapi?