Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Kumbe na we mnazi kabisa.
Tunawahi kufika.


Kuna abiria walianza kulalamika eti ooh gari linakimbia.
Dereva akasema linakimbia au linatembea?
Gari linakwenda mwendo wa serikali..Ukisema linakimbia unakosea..Tuonyeshe linakimbia wapi.


Mimi nikawa najiwazia tu kuwa walikuja kutafuta nini?
Ulishaambiwa gari inafika saa12 Mbeya kutoka Dar na unaenda kupanda!
Sasa walidhani njiani linaenda mwendo wa konokono?
 
Tunawahi kufika.


Kuna abiria walianza kulalamika eti ooh gari linakimbia.
Dereva akasema linakimbia au linatembea?
Gari linakwenda mwendo wa serikali..Ukisema linakimbia unakosea..Tuonyeshe linakimbia wapi.


Mimi nikawa najiwazia tu kuwa walikuja kutafuta nini?
Ulishaambiwa gari inafika saa12 Mbeya kutoka Dar na unaenda kupanda!
Sasa walidhani njiani linaenda mwendo wa konokono?
Kuna watu sio waelewa kabisa na wanakera pale mbezi zipo gari nyiingi TU za mbeya Kuna rungwe na ma new force yanayonyata acha wenye roho zao wpande ndege za chini sauli.
 
Tunawahi kufika.


Kuna abiria walianza kulalamika eti ooh gari linakimbia.
Dereva akasema linakimbia au linatembea?
Gari linakwenda mwendo wa serikali..Ukisema linakimbia unakosea..Tuonyeshe linakimbia wapi.


Mimi nikawa najiwazia tu kuwa walikuja kutafuta nini?
Ulishaambiwa gari inafika saa12 Mbeya kutoka Dar na unaenda kupanda!
Sasa walidhani njiani linaenda mwendo wa konokono?
Yes Sauli team, kwangu speed ,safety, uhakika ndio key
 
Yaani wewe kama mimi.
Mimi mwenyewe nikawa namwambia jirani yangu sister kwamba hawa wameshindwa kupanda Rungwe na green line yanafika saa6.
Wamekuja kutusumbua huku.

Sister naye muoga anasema ooh wapunguze mwendo..Nikasema weww na hao inatakiwa mshuke mtupishe.

Kwanza siku ile pale Mbezi walitusumbua tulitoka saa 1 na madakika.
Hapo kufika ni kuanzia saa 2..Halafu kuna waoga wanataka dereva asitembee tena.

Kuna watu sio waelewa kabisa na wanakera pale mbezi zipo gari nyiingi TU za mbeya Kuna rungwe na ma new force yanayonyata acha wenye roho zao wpande ndege za chini sauli.
 
Tunawahi kufika.


Kuna abiria walianza kulalamika eti ooh gari linakimbia.
Dereva akasema linakimbia au linatembea?
Gari linakwenda mwendo wa serikali..Ukisema linakimbia unakosea..Tuonyeshe linakimbia wapi.


Mimi nikawa najiwazia tu kuwa walikuja kutafuta nini?
Ulishaambiwa gari inafika saa12 Mbeya kutoka Dar na unaenda kupanda!
Sasa walidhani njiani linaenda mwendo wa konokono?
Miaka ya nyuma gari iliwahi kufika saa 7 mchana.

Sipati picha ilikuwa inatembeaje.
 
Niliona thread ya hilo gari 😂
Walipaa sana humo njiani

Mwendo wa kawaida na Sauli anasafiri kwa mwendo wa kawaida, na tuelewe sio kwamba yeye ndio wa kwanza au mwisho, kuna watemi wengi tu wa route hii ambao waliishika hii route kama akina Nganga, Scandinavia express (hii bus saa 1700 ipo Tunduma border, around 2000hrs inaondoka Nakonde by 0500am ,good morning Lusaka ,hakuna bus yeyote ya zambia ilikua inakamata hii bus, no accident )
 
Mwendo wa kawaida na Sauli anasafiri kwa mwendo wa kawaida, na tuelewe sio kwamba yeye ndio wa kwanza au mwisho, kuna watemi wengi tu wa route hii ambao waliishika hii route kama akina Nganga, Scandinavia express (hii bus saa 1700 ipo Tunduma border, around 2000hrs inaondoka Nakonde by 0500am ,good morning Lusaka ,hakuna bus yeyote ya zambia ilikua inakamata hii bus, no accident )
Siku hizi kuna jam kule Iyovi.
Karibia saa zima na dakika zinapotea pale..
Hii inapoteza pia muda.


Scandnavia enzi hizo alikuwa mtabe.
 
Huu ni mwendo wa kawaida kabisa, Dar to mbeya ni +700km,bus zinatakiwa zitambae kwa 8 to 10 hrs, T1 yetu tuiboreshe zaidi hasa kufutilia mbali zile tuta, zinaiua magari na kuongeza gharama za petrol/diesel, NO matuta in freeways!
Barabara ikiwa straight kama ya Dar Arusha ni rahisi kufika kwa huo muda.

Ila barabara ya Mbeya ina mambo mengi sana. Hapo Iyovu mpaka Iringa kona, milima, mabonde n.k. kuna muda utapoteza kidogo, mikumi nako sheria kibao.

Aliefikisha hiyo gari Mbeya kwa huo muda ni dereva haswa.
 
Back
Top Bottom