Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wakuu wa Road trip nani alishakutana na Msafara wa wale jamaa wa B.O.T?

Ilinikuta juzi kati, jamaa hawatembei sana na hawakuruhusu ku overtake.

Wanagari lao lina spika kabisa ukiwakaribia wanakutahadharisha kutoku overtake na usikae karibu.

Ni balaa
Huku milima ya lukumbulu huwa tunaomba kulia na kusepa, labda zinakuwa hazina hela muda huo ndo maana wanaturuhusu mkuu....
 
Mwaka 2014 nilikuwa natoka Iringa naenda Mbeya, nikapanda IT gari aina ya Noah dereva alikuwa amechoka kuendesha, akaniomba niendeshe gari nikamwambia sijui kuendesha, ikabidi tuendelee na safari na kweli nilikuwa sifahamu kuendesha gari. Nikajilaumu kwa nini sijui kuendesha, kuna wakati alikuwa anasimamisha gari na kutoka nje ya gari ili kupunguza uchovu.
 
Mwaka 2014 nilikuwa natoka Iringa naenda Mbeya, nikapanda IT gari aina ya Noah dereva alikuwa amechoka kuendesha, akaniomba niendeshe gari nikamwambia sijui kuendesha, ikabidi tuendelee na safari na kweli nilikuwa sifahamu kuendesha gari. Nikajilaumu kwa nini sijui kuendesha, kuna wakati alikuwa anasimamisha gari na kutoka nje ya gari ili kupunguza uchovu.
Kwahiyo ulikuwa hujui kufanya nini?
Kuweka gear tu kwenye D au kunyoosha tu kama wanavyonyoosha baiskeli??
 
Wakuu wa Road trip nani alishakutana na Msafara wa wale jamaa wa B.O.T?

Ilinikuta juzi kati, jamaa hawatembei sana na hawakuruhusu ku overtake.

Wanagari lao lina spika kabisa ukiwakaribia wanakutahadharisha kutoku overtake na usikae karibu.

Ni balaa
Mkuu hizi signs za police state,hakuna sheria ya kukataza hayo,kuna mtu alitugeuza mazuzu
 
Back
Top Bottom