Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
Kuna Toyota Noah, nimewahi ikuta Mkamba, njia ya Kilombero Ifakara. Dereva analalamikiwa kasimama mbele kushusha raia, akawa anajitetea gari breki hazikamati na ni Auto.Labda utoke D uje D2 Kwa muda then ujimalize na L na hand brake Kwa mbaaaaaali
Moja ya maeneo napenda sana kupiga picha...
Mara ya kwanza kupita hii mahali ni enzi hizo za kina Kwacha, Kiswele na hadi sasa mandhari yake haijawahi badilika...
Hili ndio eneo linalotenganisha nyanda za juu kusini na uwanda wa chini wa pwani, eneo linalotenganisha baridi ya kusini na joto la pwani...
Kitonga moja
View attachment 2442005
Msalimie Msafiri 😊.
Mwambie asiniache safari hii kwenye Nissan Safari yake....☺.
Kasinde mpenzi umekuwa adimu sana...huko Butiama kuingia jeiefu inahitaji visa eenh 😁?
Salamu zimemfikia naye kauliza kama nilivyouliza hapo juu...
Asante Kaka nitafanya hivyoUnaendesha gari kubwa au ndogo. Kama upo Dar nenda jengo la Maktaba Square Posta uliza ofisi za In Transit Drivers Association (ITDA) upeleke maombi yako saizi wamekula shavu la kutoa gari bandarini na kupeleka bandari kavu (ICD).
Kama ni maroli piga namba hii kisha jielezee wanataka madereva 0677469840
Kwa huu utamaduni mpya wa nyumbani kwanza ni vigumu kupewa kipaumbele sehemu ambayo kiongozi hatoki huko,ni mchezo hatari sana kwa usalama wa nchi.umeandika jambo zuri sana ila sidhani kama wahusika wataliingiza kwenye vipaombele vyao.
mimi nalia na mamlaka zenye dhamana na masuala ya utalii. ekolojia ya maeneo yenye miiniko kama mlima kitonga ni very potential kwa utalii. huu mlima ukiachia ile sifa yake mbaya ya ajari za gari, ni kivutio kizuri sana.
ilitakiwa pawepo na hotel nzuri ya kitalii eneo lile la mlima. ingevutia sana wageni wanaopenda kufanya camping, hiking/trekking, adventure, nature photography nk.
sijui kwanini nchi yetu inasuasa kugeuza maeneo kama haya kuwa vivutio vya utalii.
Ukipita kipindi cha masika ile greenish inavutia sana!Tatizo la nchi yetu kila kitu kinahitaji political will na sio wataalamu waje na plans na ziwe implemented, kuna mzawa alijaribu pale Comforts Hotel ,pass inapoanzia ukitokea Ruaha, hoteli ikavuma na ikaja pasuka,ule mlima kuna potential nyingi mno za kiuchumi including kutoa ajira hasa kwenye hiyo sector ya utalii, kuanzia hiking, jumping, kayaking [emoji1629], tourist camps, wenzetu Zambia wanazo hizi camps nyingi tu,T1 nzima naona tuna hii camp moja tu,pale iyovi inapoanzia ukitokea mikumi, ni shame hasa nchi yetu hii
Hiyo spidi 70 na 50 ni vibao ndo vinaelekeza hivyo au kuna mtu anakupa huo muongozo?Bongo hata sielewi,ukipita mikumi mchana spèed limit ni 70 usiku ndio 50.ila vijiji vya kawaida au kona mchongo unaambiwa upite na 50.
Chief hii ni Gx100?Road trip mnyama v8.View attachment 2440510
Automatic bila brake hapana kwa kweli sitaki hata kusikia. Nakumbuka kuna mzee mmoja hivi alikuwa na Landrover 109, ile gari aliitoa brake & clutch pedal.Kwa manual kuendesha bila brake unakuwa comfortable maana engine braking inatosha. Ila kuna miamba wanaendesha automatic car yenye breki mzozo au bila breki
Muongozo rasmi kabisa wa vibaoHiyo spidi 70 na 50 ni vibao ndo vinaelekeza hivyo au kuna mtu anakupa huo muongozo?
automatic bila brake mbona inaendesheka tu,nishajaribu Mara mbili pasipo kutegemea baada ya kupata ishu ya sticking caliper,sema Ina hitaji moyo wa chumaAutomatic bila brake hapana kwa kweli sitaki hata kusikia. Nakumbuka kuna mzee mmoja hivi alikuwa na Landrover 109, ile gari aliitoa brake & clutch pedal.
Mikumi kuna vibao vinakuelekeza hivyoHiyo spidi 70 na 50 ni vibao ndo vinaelekeza hivyo au kuna mtu anakupa huo muongozo?
Sasa mkuu si afadhali hata ya huku kwetu hapo Rwanda unatembea speed 60 boda mpaka kigaliBongo hata sielewi,ukipita mikumi mchana spèed limit ni 70 usiku ndio 50.ila vijiji vya kawaida au kona mchongo unaambiwa upite na 50.
Yes ya kwangu imeshaanza,road trip ya mwisho wa mwakaCountdown.....