Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Labda utoke D uje D2 Kwa muda then ujimalize na L na hand brake Kwa mbaaaaaali
Kuna Toyota Noah, nimewahi ikuta Mkamba, njia ya Kilombero Ifakara. Dereva analalamikiwa kasimama mbele kushusha raia, akawa anajitetea gari breki hazikamati na ni Auto.

Tuliongozana nae mida ya jioni, speed aliyokuwa anatembea sio mchezo na abiria kajaza mpaka kwenye buti. Kona za Mangula,mitaa ya Kiberege anavyotembea ni hatari
 

Msalimie Msafiri 😊.

Mwambie asiniache safari hii kwenye Nissan Safari yake....☺.
 
Kasinde mpenzi umekuwa adimu sana...huko Butiama kuingia jeiefu inahitaji visa eenh 😁?

Salamu zimemfikia naye kauliza kama nilivyouliza hapo juu...

Aahahahahaaahahaaa waaalaaah, VISA ya humu sina mipaka nayo, sema tuu nikisahau nilipoweka miwani yangu ndo basi tena humu siwezi kuinhia na kusoma au kuandika...😅😅😅

You are missed than the way I miss goody goody toffy....😋😋😋😋

Sugar sugaring thing.....

Before new year twende mahala penye tutafanya cheers ya fruti fruti......

Yaani tule matunda weeeh hadi nami nikuwe sukari kama wewe...😅😅

Niko sirias....
 
Asante Kaka nitafanya hivyo
 
Kwa huu utamaduni mpya wa nyumbani kwanza ni vigumu kupewa kipaumbele sehemu ambayo kiongozi hatoki huko,ni mchezo hatari sana kwa usalama wa nchi.
 
Ukipita kipindi cha masika ile greenish inavutia sana!
 
moja kati ya back to back roadtrip nilizowahi kufanya ni ya dar-bukoba.

hii ilikuwa ni june 2020. video nilitengeneza kwa msaada wa application mbili ambazo ni google map na google earth.

nilichofanya, wakati tumebakiza kilomita chache kuingia bukoba, nilichukua simu yangu, nikawasha gps, nikaingia google map, nikaset direction. baada ya hapo nikafanya screen-recording kwenye simu yangu.......the end result is amazing.

NB: ktk teknolojia ambayo ninai-utilize at 100% when i'm on a roadtrip, is goople map and google earth. waliovumbua hizi application mbili Mungu awashushie baraka maradufu.

tazama video.
Your browser is not able to display this video.
 
Mwezi wa 12 Tar 17 mwaka jana niliweka Hydrolic oil (gearbox) na nikatoka Dar kwenda Mwanza..Km 1000+
Baada ya hapo Gari imeenda karibu Km 1500 zingine,

December Hyo nilimwaga Engine oil pia na Nikaja tena Kumwaga mwezi wa 9 Mwaka huu..hapo chini ndo aina ya Oil nazotumia...gari Ni Premio X..

Nna safari ya Arusha hivi karibuni, Je natakiwa kubadili hizi oil tena?
 
Kwa manual kuendesha bila brake unakuwa comfortable maana engine braking inatosha. Ila kuna miamba wanaendesha automatic car yenye breki mzozo au bila breki
Automatic bila brake hapana kwa kweli sitaki hata kusikia. Nakumbuka kuna mzee mmoja hivi alikuwa na Landrover 109, ile gari aliitoa brake & clutch pedal.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…