Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GRS180 naona wese limesimamia kwenye Fadhili leo (F) 😂😂😂 mkao wa kwendaHapa Total magari yamejaa hadi raha. Families za kutosha
View attachment 2455191
Strictly controlled cruiseTanga kituo cha kwanza. 9.9km/LView attachment 2455523
Miaka nenda rudi utaratibu ni ule ule
Kamwaga sana mafuta kwa powerful overtakes.Strictly controlled cruise
Very right. Nimetumia nguvu nyingi kupita magari zaidi ya 10 kwa mkupuo. Nilichelewa kutoka.Kamwaga sana mafuta kwa powerful overtakes.
Huwa anapata 10.5 kmpl.
Katumia mafuta mengi, na hiyo ni hasara mojawapo ya kutembea mchana.
Sanaa asee, mtu anatembea 50km/hr[emoji1316]Ila 0.5/L difference.
Ila kuendesha taratibu ni kipaji.
Dah nashindwa kuelewa, hivi hizi ni aina gani za kazi mtu unasafiri hivi? Yaani jamaa kila siku yuko barabarani...Huna mpinzani. Riziki kwenye matairi yako
niliwahi kuandika hapa, aliyevumbua technology inayofanya kazi ndani ya app ya google map, Mungu amzidishie baraka marudufu. wavumbuzi wake ni ndugu wawili lars rasmussen na jens rasmussen.
hii app inaturahisia sana kazi sisi tunaopenda kuitumia kwa 100% tunapokuwa safarini.
basi bhana, wifi/shemeji yenu yupo safirini yeye na baadhi ya ndugu zake wa familia. wanasafiri kutoka mkoa A wanaenda mkoa C kutembelea wazee wao, kula sikukuu ya xmas na kusherekea mwaka mpya.
amenitumia live location kwa kupitia app ya google map ili niwe na track roadtrip yao. nawashirikisha kipande kifupi cha video. you can see it for yourself how powerful this app is.
View attachment 2456182
Hiyo teknolojia itakuja kuwageuka siku moja, mnaanika maisha yenu sana, sasa hiyo ina faida gani? Mzinga ukitokea mnaanza kuja na maswali meengi mara walijuaje usiku ule kama ni yeye, kumbe mlijianika wenyewe, hamjui mko tracked kila mahali, hiyo kitu siyo kabisa na futa kama unapenda privacy na kila binadamu anastahili privacy fulani!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mjini kuna mengi. Kikubwa namshukuru Mungu kwa hii privilegeDah nashindwa kuelewa, hivi hizi ni aina gani za kazi mtu unasafiri hivi? Yaani jamaa kila siku yuko barabarani...