ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Lazima jina lianziwe na Fundi au EngineerWahandisi,wakandarasi wanatembelea site...sio pen pushers.
Hahahahah mchana jau sana, brake nyingi ndio maana hajatoboa kwa hio average.Kamwaga sana mafuta kwa powerful overtakes.
Huwa anapata 10.5 kmpl.
Katumia mafuta mengi, na hiyo ni hasara mojawapo ya kutembea mchana.
Hapa Total magari yamejaa hadi raha. Families za kutosha
View attachment 2455191
Duh unawaza mbali mzee, wahasibu utawajua tyISO M.CodD huwa unatumia average ya lt ngapi petrol kwa mwezi?
Naona unashindana na mshale, ukishuka unaunyanyua
Mmmmm naona overtake ya kwenye
Pole mkuu ila hiyo si freeway?,huyo bodaboda yupo wrong place
Hahahah unakula Economy ya IST