Mkuu chupuchupu nipoteze gari pale loooooo, yaani ni mahandaki ambayo vifaru 3 vinaweza potea, shit Zambia hiki kipande cha nakonde to serenje kipo fucktap[emoji1787]
Mkuu Nkanini
Mkitoka nakonde zero five (05:00)
Kulala Kapiri mposhi au Kabwe ni uhakika
Ila muwe makini na zile handaki pale
Danger hill na kule bwawa la samaki
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Mkuu kabwe au kapiri mposhi looo, wewe itabidi uwe pointer wetu mimi serenje kituo, ila wewe kama una uwezo wa kufika kabwe..welldone, ila nikianza serenje mkuu ni moto mkubwa hadi livingstone na Ile border ingekua 24hrs basi ni kituo Kasane[emoji1787]
Mkuu Nkanini
Mkitoka nakonde zero five (05:00)
Kulala Kapiri mposhi au Kabwe ni uhakika
Ila muwe makini na zile handaki pale
Danger hill na kule bwawa la samaki
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo kutembea KM 2000 zinafanya Nissan iwe gari bora?Halafu unasikia mtu anasema nissan mbovu
Achana na hiyo gari 143,000KM? Itakufia njiani hiyo.December 27 2021 km 111,111
View attachment 2457442
December 25 2022 km 143,431
View attachment 2457444
Hizo ni 32,320 kwa mwaka bila malalamiko yoyote. Nissan sio mbovu. Ila ukiweka spea za kuokoteza itakutesa.
NakaziaPoint of correction VQ35 [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila kiuhalisia tunaogopa tu magari yenye injini kubwa, hayatishi chochote.
Mwendo wangu wa jongooMkuu kabwe au kapiri mposhi looo, wewe itabidi uwe pointer wetu mimi serenje kituo, ila wewe kama una uwezo wa kufika kabwe..welldone, ila nikianza serenje mkuu ni moto mkubwa hadi livingstone na Ile border ingekua 24hrs basi ni kituo Kasane
Huenda huna muda mrefu kwenye huu uzi. Ni matokeo ya long time ownership over harsh conditions and heavy usage shared kwenye huu uzi.Kwa hiyo kutembea KM 2000 zinafanya Nissan iwe gari bora?
Hivi confidence ya kumuambia mwanaume mwenzio maneno haya unaitoa wapi?Achana na hiyo gari 143,000KM? Itakufia njiani hiyo.
[emoji1787]Hivi confidence ya kumuambia mwanaume mwenzio maneno haya unaitoa wapi?
Hapo kila mmoja apambane na hali yake.Leo nimeshuhudia namna gari anambutua bodaboda
Wote wakiwa kwenye purukushani za kukatiza kabla taa hazijaruhusu upande wao
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Upo right mkuu ,power tools iwe ndio pointer, hizi buses zinaondoka nakonde around 4amMwendo wangu wa jongoo
Kufika Kapiri natumia siku mbili
Kutokea Nakonde
Nyie za kwenu cha upepo ni kuteleza tu
Kama Mbwe na Power tools zinaingia Lusaka
Saa 22:00 nyie mtashindwa Nini?
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Iam Sauli team, hii ni ya tunduma au mbeya?Sauli anatua Shekilango muda huu,
Kutokea Mbeya[emoji119][emoji119][emoji91][emoji91][emoji91]
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Sijui hataIam Sauli team, hii ni ya tunduma au mbeya?
May be kwa muda huo itakua ya mbeya, na hizi buses za mbeya zilitakiwa ziingie Dar around 1500hrsSijui hata
Mimi Nimeiona huo muda pale Ubungo 😂
Wamebutuana katikati kwenye barabara ya Mwendokasi.Hapo kila mmoja apambane na hali yake.
Eeeh?May be kwa muda huo itakua ya mbeya, na hizi buses za mbeya zilitakiwa ziingie Dar around 1500hrs
Hata wewe mzee wa safety ni shabiki wa ligi?Iam Sauli team, hii ni ya tunduma au mbeya?