Pole sana mkuuMajanga ya leo kwenye road trip nikitokea arusha kuelekea dodoma, chuma ikakata Timming Belt maeneo ya Kelema mbele ya kondoa ikabidi nirudi Kondoa mjini kutafuta hiyo belt ila cha ajabu warangi wanachelewa sana kufungua maduka imagine unaambia hili duka jamaa wanafungua saa nne asubuhi na kuna mmoja ilibidi nimfuate nyumbani kwake aje afungue duka ili nipate hiyo belt, ila namshukuru mungu nikafaniwa chuma ikaamka mapema sana niko Dom. View attachment 2468175View attachment 2468176View attachment 2468177
Ulienda duka lipi au garage ipi?Majanga ya leo kwenye road trip nikitokea arusha kuelekea dodoma, chuma ikakata Timming Belt maeneo ya Kelema mbele ya kondoa ikabidi nirudi Kondoa mjini kutafuta hiyo belt ila cha ajabu warangi wanachelewa sana kufungua maduka imagine unaambia hili duka jamaa wanafungua saa nne asubuhi na kuna mmoja ilibidi nimfuate nyumbani kwake aje afungue duka ili nipate hiyo belt, ila namshukuru mungu nikafaniwa chuma ikaamka mapema sana niko Dom. View attachment 2468175View attachment 2468176View attachment 2468177
Sikumbuki majina ila moja linaitwa kwa massawe ila hapo nilikosa lingine linaitwa Auto Spare nilikosa hilo nililopata jina sikumbukiUlienda duka lipi au garage ipi?
Pole sana. Hapo Kwa Massawe ni karibu na kituo kidogo cha police kumezungushiwa tape ya njano. Ndo maduka yaliyopo. Spare nyingi zina agizwa Dodoma mjini masaa mawili mpaka matatu inakua imefika. Karibu tenaSikumbuki majina ila moja linaitwa kwa massawe ila hapo nilikosa lingine linaitwa Auto Spare nilikosa hilo nililopata jina sikumbuki
Bado Hata [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Vipi ushaionja LC300?
Fuata upoteeeNaona hizo lc300 zinaingia kwa kasi sana. Vipi mliokutana nazo njiani tunaomba mrejesho shughuli yake ikoje ukijaribu kuifuata?
Haha Mwenye V8 kaona akimuachia jamaa wa prado apite atakuja kujisifu huku kwenye thread akaamua amuoneshe who's the boss[emoji28]View attachment 2467013
Chuma hiyo hapo V8, wapenda ligi hapo ni mwendo wa kumwaga moto hadi Prado ivunje piston
Hizo gari zinatembea hatari [emoji3]Haha Mwenye V8 kaona akimuachia jamaa wa prado apite atakuja kujisifu huku kwenye thread akaamua amuoneshe who's the boss[emoji28]
Kuna siku tulikua tunasafiri kuelekea kanda ya kusini na Noah voxy letu ikiwa bado mpya mpya [emoji28][emoji28]Hizo gari zinatembea hatari [emoji3]
nimependa hapa 😀Ile chuma ilipotea mbele ya upeo wa macho yetu ndani ya muda mchache sana
Huyo aliwaheshimu. Ingekuwa mwingine anakuacha utangulie dk30 halafu yeye ndio anatoka na bado anakutafuta na kukuacha usome spare tyre cover.Kuna siku tulikua tunasafiri kuelekea kanda ya kusini na Noah voxy letu ikiwa bado mpya mpya [emoji28][emoji28]
Tumetoka hotelini kula tunaingia road tuendelee na safari kuna jamaa nae Ana V8 alikua hapo hotelini pia so wakati sisi tunatoka na yeye akawa anatoka yuko nyuma yetu tumeenda mbele kidogo akakaa kulia akatuchana
Nikamwambia mwanangu tujaribu ligi na V8 hiyo aah ni kama tulikua tunajitekenya na kucheka wenyewe tuliaibishwa vibaya mno Ile chuma ilipotea mbele ya upeo wa macho yetu ndani ya muda mchache sana tukabaki tunacheka tu [emoji23]
Aibu nyingine ni za kujitakia bora tungekausha tu [emoji28]nimependa hapa 😀
Haha hata Hiyo Spare tyre cover huioni Linapotea completely [emoji28]Huyo aliwaheshimu. Ingekuwa mwingine anakuacha utangulie dk30 halafu yeye ndio anatoka na bado anakutafuta na kukuacha usome spare tyre cover.
Chuma ganiMajanga ya leo kwenye road trip nikitokea arusha kuelekea dodoma, chuma ikakata Timming Belt maeneo ya Kelema mbele ya kondoa ikabidi nirudi Kondoa mjini kutafuta hiyo belt ila cha ajabu warangi wanachelewa sana kufungua maduka imagine unaambia hili duka jamaa wanafungua saa nne asubuhi na kuna mmoja ilibidi nimfuate nyumbani kwake aje afungue duka ili nipate hiyo belt, ila namshukuru mungu nikafaniwa chuma ikaamka mapema sana niko Dom. View attachment 2468175View attachment 2468176View attachment 2468177
Mimi kuna siku iliniovatake mlimani nikiwa 120 niliziogopa na tena ni hizi za kizamaniKuna siku tulikua tunasafiri kuelekea kanda ya kusini na Noah voxy letu ikiwa bado mpya mpya [emoji28][emoji28]
Tumetoka hotelini kula tunaingia road tuendelee na safari kuna jamaa nae Ana V8 alikua hapo hotelini pia so wakati sisi tunatoka na yeye akawa anatoka yuko nyuma yetu tumeenda mbele kidogo akakaa kulia akatuchana
Nikamwambia mwanangu tujaribu ligi na V8 hiyo aah ni kama tulikua tunajitekenya na kucheka wenyewe tuliaibishwa vibaya mno Ile chuma ilipotea mbele ya upeo wa macho yetu ndani ya muda mchache sana tukabaki tunacheka tu [emoji23]
Wao nice job mkuuIfikapo saa Tano Leo asubuhi nitakuwa nimeimaliza Tanzania nzima. View attachment 2469470
Uliachwa kama umesimama vileMimi kuna siku iliniovatake mlimani nikiwa 120 niliziogopa na tena ni hizi za kizamani