Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?


Baada ya mwaka inarudi jikoni inapigwa body service na rangi mkono mmoja..anapewa dalali anampata mtu anaehisi amebahatisha probox kwa 5m.

Anakuja kujitamba humu JF na ndo gari yake ya kwanza..
Week ya kwanza gari innanza kusumbua anarudi tena humu kuomba msaada wa fundi mzuri[emoji23]

Mara gari haiwaki mara inazima ghafla anaamua kupaki na kuyachukia magari moja kwa moja[emoji119]

Nasisitiza kuwa makini na gari za mkononi.!
 
Clever
 

Itakua alitamani kujipima ubavu na gari yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…