Home kwetu
Home wapi mkuu?Home kwetu
Shelui-Kibigiri-SEKENKE-Misigiri-Kizaga
Nissan walicheza sana hapo kwenye Gran Turismo Racing.German vs Japanese
hii inaitwa kacheze unakochezagaView attachment 2476181
Hapo hapo SingaporeHome wapi mkuu?
GTR ilianza kukolea moto ilipofika 300kph na audi ikaanza kula gap.... sema hapo zote chumaNissan walicheza sana hapo kwenye Gran Turismo Racing.
Mbii mbwanewe!Home wapi mkuu?
Hio gtr haina mpinzaniGerman vs Japanese
hii inaitwa kacheze unakochezagaView attachment 2476181
Mupanga mayu.Mbii mbwanewe!
kwahiyo hakuna gari inayo ikata gtr ?Hio gtr haina mpinzani
labda alimaanisha kwa hiyo battle hapo mkuu...kwahiyo hakuna gari inayo ikata gtr ?
Kwa Japanese cars hakunakwahiyo hakuna gari inayo ikata gtr ?
Kuna video niliiona, nissan gtr alikuwa mbele kidogo ya audi. Ile audi ilikuwa 320kph ila nissan alikuwa anazidi kusogea.kwahiyo hakuna gari inayo ikata gtr ?
Video yenyewe si ndo inayojadiliwa hapo mkuuKuna video niliiona, nissan gtr alikuwa mbele kidogo ya audi. Ile audi ilikuwa 320kph ila nissan alikuwa anazidi kusogea.
Hapo ndo utajiuliza huyo jamaa wa nissan alikuwa anaendesha ngapi?
Alieitengeneza Nissan gtr alikaa chini akaisuka gari vyema. Ule ni moto wa gesi.
Mkuu mwaka 1980 nilinunua Skyline GT ya 1978Kuna video niliiona, nissan gtr alikuwa mbele kidogo ya audi. Ile audi ilikuwa 320kph ila nissan alikuwa anazidi kusogea.
Hapo ndo utajiuliza huyo jamaa wa nissan alikuwa anaendesha ngapi?
Alieitengeneza Nissan gtr alikaa chini akaisuka gari vyema. Ule ni moto wa gesi.
Welldone mkuu Nami ni mpenzi sana wa F1, Silverstone grand prix home ground ya Mercedes, ila mimi ni fan wa red team pale MonzaMkuu mwaka 1980 nilinunua Skyline GT ya 1978
Ila ya 77 ndio ilikuwa balaa ilikuwa ukisimama mahali lazima mwenye gt asimame kukusalimia
Hiyo ilikuwa middle east nilikuwa kuifuta km zote ilikuwa kawaida sana
Niliwahi kujichomeka kwenye rally yaliyonikuta siwezi kusahau, utoto ulikuwa raha sana
Mwisho nilikuja kuwa nanunua na kuuza sports cars za kila aina mradi kila wakati niendeshe tofauti tofauti tu
Kwa sasa nimezeeka but still nakwenda kuangalia mashindano kila mwaka Silverstone