Hahahah GX100 ikipata kichaa ni balaa. Huyo ulimnyoosha sana aiseeKuna mmoja wa ist mi nilikua na cheser gx100 tulianzia msata alikua hataki nikae mbele yake ila akikaa mbele anatembea speed 120 nikimkata anapambana namwacha anapita ila akishakaa mbele hakimbii tena na mimi speed yangu ya kawaida ilikua 120 adi 160 kulingana na hali ya barabara kafanya ivo ka mara 3 nkaona asiniletee ujinga baada ya wami mbele hapo nkampita nililala na zile kona na ile panda shuka natembea adi 170 hakunifata tena kaja kunikuta segera dk 15 baadae nimesimama kanipigia honi kanipungia kakunjia tanga mi nilikua naenda moshi.
Ila bila shaka hao jamaa wanajuana and they planned to battle haikutokea tu bahati mbaya wamekutana hapo[emoji28][emoji28]itakuwa alienda kusimulia maana nina hakika hakuamini alichokutana nacho... Kuna muda GTR kama aliachia moto hivi ila baadae aksema Mr. Audi, sorry I have to go.... hahahahaha
inawezekana mkuu....Ila bila shaka hao jamaa wanajuana and they planned to battle haikutokea tu bahati mbaya wamekutana hapo[emoji28][emoji28]
Ukiangalia hata hiyo video aliye record alikua nyuma ya seat ya dereva wa Audi
Hapo hajakutana na audi s7 V8 Quattro twin turbo ile inafunguka 360kwahiyo hakuna gari inayo ikata gtr ?
umeshahujua hiyo GTR inafunguka hadi ngapi mkuu?Hapo hajakutana na audi s7 V8 Quattro twin turbo ile inafunguka 360
View attachment 2479288
Mercedes na Lewis HamiltonRacing is an interesting sports... hata Mimi ni fan sana wa MotoGP na F1, my favourite team ni Redbull Racing Team ila simpendi Verstappen kutokana na ubinafsi wake...
nafikiri sticker ni kila mwaka mkuu... halafu mkuu umenifurahisha hapo pa kununua, hahahahaKaka zangu naomba kuuliza week ya nenda kwa usalama hua ni lini? Ile stika inatakiwa ninunue kila mwaka? asanteni
Asante mkuu, kwakweli ni kununua. Mwaka jana nilinunua hiyo stika nilivyonunua gari January sasa naogopa faini, wewe unanunuaje kila mwaka?nafikiri sticker ni kila mwaka mkuu... halafu mkuu umenifurahisha hapo pa kununua, hahahaha
zikitoka utaziona tu kwa nyangenyange mkuu, andaa elfu 5 ya kubrashia viatu kwa zile siku za mwanzo zinapotoka, ila ikishapita mwezi au miezi wanapandisha dau inakuwa 10k, 15k hadi 20k. so zikitoka tu chukua mapema tulia.Asante mkuu, kwakweli ni kununua. Mwaka jana nilinunua hiyo stika nilivyonunua gari January sasa naogopa faini, wewe unanunuaje kila mwaka?
Hizo sticker ni za ukaguzi,gari ikaguliwe kuhakikisha usalama wake ndo unapewa stika,ila watu wana nunua tu wala hawakaguliwiAsante mkuu, kwakweli ni kununua. Mwaka jana nilinunua hiyo stika nilivyonunua gari January sasa naogopa faini, wewe unanunuaje kila mwaka?
Sawa asante mkuu kwa maelezo mazurizikitoka utaziona tu kwa nyangenyange mkuu, andaa elfu 5 ya kubrashia viatu kwa zile siku za mwanzo zinapotoka, ila ikishapita mwezi au miezi wanapandisha dau inakuwa 10k, 15k hadi 20k. so zikitoka tu chukua mapema tulia.
Hahaha sawa mkuuHizo sticker ni za ukaguzi,gari ikaguliwe kuhakikisha usalama wake ndo unapewa stika,ila watu wana nunua tu wala hawakaguliwi
Haha hata huku dar saa moja kuna mwanga wa kutoshaView attachment 2483190
Nyanda za juu kusini...
Muda: Saa moja jioni, yes hii ni saa moja jioni[emoji848][emoji848] mwanga kama wote
View attachment 2483190
Nyanda za juu kusini...
Muda: Saa moja jioni, yes hii ni saa moja jioni[emoji848][emoji848] mwanga kama wote