Nakubali sana, nadhani na ww utakuwa na gari yenye uwezo ili uendane na pace yake mzee au alikuwa hafunguki?
Welldone mkuu naona hapo hiyo barrier mnaivuka !View attachment 2485150
Shukrani nyingi zimwendee mwamba hapo mbele maana kaifanya safari yangu leo iwe fupi mno kwa kuonekana ni convoy ya wazee wa serikali...😂😂
Hapa si Kadege MbeyaView attachment 2485150
Shukrani nyingi zimwendee mwamba hapo mbele maana kaifanya safari yangu leo iwe fupi mno kwa kuonekana ni convoy ya wazee wa serikali...[emoji23][emoji23]
Haha umechangamkia fursaView attachment 2485150
Shukrani nyingi zimwendee mwamba hapo mbele maana kaifanya safari yangu leo iwe fupi mno kwa kuonekana ni convoy ya wazee wa serikali...[emoji23][emoji23]
Hapa si Kadege Mbeya
Kuna sehemu kah hvyo Mbeya mkuuHapana ni barabara ya kwenda makao makuu ya nchi
Sawa mkuu. Tunashukuru umefanya salama piaAlikuwa anafunguka vizuri sana tu...
Gari ya kawaida ila uzoefu wa barabara kubwa tu ndugu yangu...
Sehemu pekee wanayotuchapa hao jamaa wenye hizo gari ni kwenye matuta, sababu huwa hawapunguzi sana mwendo kama sisi wenye magari ya kawaida...
Hvi kirefu cha T1 ni nini?Nawasalimu wazee wa T1 kutokea hapa Ilula
wenye kujua zaidi watatoa ufafanuzi,ila navojua mimi ni kuwa barabara zote nchini zina majina au namba,ziwe barabara ambazo zipo chini ya TANROAD au zile za TARURA ,za TANROAD huanzia na T( kisha namba ya hiyo barabara,na TARURA huanzia na R( kisha namba ya hiyo barabara pia)hivyo hii T1 ni ile imeanzia pale Ubungo kwenda Morogoro, sijajua inasomeka kama T1 hadi mwisho wapi?Hvi kirefu cha T1 ni nini?
wenye kujua zaidi watatoa ufafanuzi,ila navojua mimi ni kuwa barabara zote nchini zina majina au namba,ziwe barabara ambazo zipo chini ya TANROAD au zile za TARURA ,za TANROAD huanzia na T( kisha namba ya hiyo barabara,na TARURA huanzia na R( kisha namba ya hiyo barabara pia)hivyo hii T1 ni ile imeanzia pale Ubungo kwenda Morogoro, sijajua inasomeka kama T1 hadi mwisho wapi?
Ok sijajua zaidi lakini uelewa wangu mimi ni kuwa.wenye kujua zaidi watatoa ufafanuzi,ila navojua mimi ni kuwa barabara zote nchini zina majina au namba,ziwe barabara ambazo zipo chini ya TANROAD au zile za TARURA ,za TANROAD huanzia na T( kisha namba ya hiyo barabara,na TARURA huanzia na R( kisha namba ya hiyo barabara pia)hivyo hii T1 ni ile imeanzia pale Ubungo kwenda Morogoro, sijajua inasomeka kama T1 hadi mwisho wapi?
Ok sijajua zaidi lakini uelewa wangu mimi ni kuwa.Hvi kirefu cha T1 ni nini?
Kiza kikiingia unaenda bar, ukinywa bia mbili unashtukia pamekuchaNi kweli jamani
Sahivi unalala kidogo pamekuchaa
afu jua kali mchana
Ukiwa muoga hata uwe na v8 hiyo chuma itakupa mhenyo.Imetolewa 1hz imefungwa 1hd-fteView attachment 2486409
Nawapaa Hi wana Road Trip. [emoji137][emoji137][emoji137]