Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Nakubali sana, nadhani na ww utakuwa na gari yenye uwezo ili uendane na pace yake mzee au alikuwa hafunguki?
Alikuwa anafunguka vizuri sana tu...
Gari ya kawaida ila uzoefu wa barabara kubwa tu ndugu yangu...
Sehemu pekee wanayotuchapa hao jamaa wenye hizo gari ni kwenye matuta, sababu huwa hawapunguzi sana mwendo kama sisi wenye magari ya kawaida...