Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

IT au kuna mdau kaishusha kusumbua mjini?
Hapana sio IT imesajiliwa Namba E

Hiyo Ford mustang Imepata ajali, hiyo show ya mbele yote imepasuliwa sema niliotea picha ya ubavuni maana nilikua kwenye gari


Kwenye hiyo picha ukiangalia jamaa anayetembea kabeba begi karibu na pikipiki anaangalia ilivyomegwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…