Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Tukuyu [emoji1696]
Screenshot_2023-01-22-18-35-16-185_com.google.android.apps.maps.jpg
 
IT au kuna mdau kaishusha kusumbua mjini?
Hapana sio IT imesajiliwa Namba E

Hiyo Ford mustang Imepata ajali, hiyo show ya mbele yote imepasuliwa sema niliotea picha ya ubavuni maana nilikua kwenye gari


Kwenye hiyo picha ukiangalia jamaa anayetembea kabeba begi karibu na pikipiki anaangalia ilivyomegwa
 
Back
Top Bottom