Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1200ccEngine kubwa zaidi ya Vitz
Eeh watu wako fastaMkuu DVC zishaingia mtaani!
Umetisha mkuu....Samahani Sana sikuwapa mrejesho wa trip yangu ya Dar - Arusha - Nairobi.
Ila ndivyo hivyo nimewasili leo asubuhi na mapemaView attachment 1657881
Tabia mbaya hyo kuondoka bila kunambia mmmmh.Nimetoka Dar saa 10 alfajiri now nipo Dom ila nilipita njia ya msoga kufika msata napigwa tochi aise jamaa wanakusanya za kubrashia viatu ni balaa hawapokei buku 5 ni kuanzia 10 na kuendekea.View attachment 1657468
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nmecheka had bas lol.Ndio mkuu yaan jamaa wanakusanya pesa kama vikoba.
Unaenda wapi bibie mremboo 😃😃.. narudi Dar es Salaam from Mwanza..Hivi kweli wana Jf mmeninyima lift?
Arusha au Mbeya au Tabora....Unaenda wapi bibie mremboo 😃😃.. narudi Dar es Salaam from Mwanza..
Wakuu nimefika salama Moshi nitakaa hapa hadi jioni sana then naingia destination yangu Chuga! It was an enjoyable road trip.Moshi moja hiyo. Napumzika kidogo niamshe arusha.
Sikutegemea kama ule muda tulioamka kungekuwa na magari mengi vile.
Leo hakukuwa na trafiki kabisa.
Sijasimamishwa zaidi ya ku-overtake pale Wami.
The trip was good and enjoyable.
Nikimaliza msosi hapa Hugos napandisha arusha.Wakuu nimefika salama Moshi nitakaa hapa hadi jioni sana then naingia destination yangu Chuga! It was an enjoyable road trip.
Safi.Niko home kwa jamaa yangu kanialika