Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Jahahahahahaha yaan mkuu nimefurahi maana tumefanana aisee. Toka primary siti yangu ni nyuma ya dereva. Hiyo inajulikana. Msichana peke yangu the rest ni boys. Tunapiga story na dereva balaaa. Sijui yupe dereva mzee juma wa dar express kama bado. Tunawanunulia na bia kbs ili wakimbize tuwahi kufika dethilamu.
Panachangamkaga balaa. Mkinunua vitu mnashare kama kawa. Na akikimbiza wala huogopi. Mi najua dereva hataliangushia upande wake[emoji23][emoji23] analilaza kwa konda. Upande wa konda sikaagi.
Madereva wa Dar express wa Nairobi wapo vizuri sana.

Gari inakimbia mpaka unafurahi.

Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
 
Nina perception mbaya na polisi.

Binafsi siamini kama polisi wanaweza tatua shida zangu.

Kuna wakati wakinisimamisha huwa nawa-ignore tu hasa nikiwa highway.

Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
Yes. Utakuta ni washkaji balaa. Na wanajuana vizuri sana wanapewaga ya kiwi. Ndo maana unakutaga hawana wasiwasi kbs.

Ila kuna namna huwa wanafanyaga hao real madrid. Bila shaka unanielewa nikisema real madrid. Wakiona huyu ni mshkaji sana wa fulan kuna namna wanafanya.

Wanamchukuaga mmoja ambaye wanajua si mshkaji wa madereva wanaenda kumtupa kwenye chaka lingine.

Mfano... huwa wanajuaga kuna mabasi wanapitaga mitaa fulan kabla ya muda. Sasa mmoja wao anadandia lift. Kuna siku mmoja tulimchukua na camera yake. Tukafika hapo tanga machakani akatuomba tumshushe na tusimchomee kwa magari yanayokuja[emoji23][emoji23][emoji23] akatuambia huu ni muda wa CHAKITO kupita nataka kuwanyoosha. Akatuomba sana tusichome huko mbele maana ni chimbo jioya la dharura bado madereva hawajajua. Tukamwambia poa. Jaman... alivyoshuka alibingirika kama mwanajesh wa Afghanistan. Unawajua wale makomando? Yaan akabingirikia machakani. Ndo maana wanagongwaga na nyoka. Nilicheka kwanguvu kiukweli. Na kweli CHAKITO tukakutana nalo mbele kidogo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Wakati ndo tunatoka tulipomuacha kuna gari ilikua inakuja speed balaa jaman alivyochomoka maporini[emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]pole sana mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Pole mnooo. Mshenz sana huyo aisee. Me nakuambia konyagi ndo inaletaga yote haya
Asante sana....nilisalimika ila rim ya gari ilipinda...Ingekuwa ni alloy wheel, nadhani ingevunjika kabisa..
 
Weeee. Achaaa[emoji119][emoji119]
Kuna siku nilienda kata tiketi nikapata extrA luxurt siti ya mwisho kabisa. Ni vile ilinilazimu sana kusafiri. Basi alfajiri nikadropiwa stendi pale. Nilikua abiria wa pili kufika ile saa 11. Kama kawaida nikaingia mpk mwisho. Nikakumkuta dereva amelala. Jina namuhifadhi. Akaniuliza mrembo kwanini umekuha kukaa huku nyuma nikamwambia ndo siti nilopata. Akanambia kwakua ni wewe basi sitakimbiza. Nikatabasamu na kuwa excited sana kwann amekua concerned hivyo na hiyo siti ya mwisho ina kuwaje. Basi nikakaa zangu akaamka akaenda zake mbele.

Safari ikaanza saa 12 kama kawa. Kwani anakumbuka kuna mrembo tena huko nyuma?[emoji23][emoji23] yaan watu ni wanakiwashaaaaaa. Na hizo booster matuta yanafukiwa balaaa. Yaan hiyo amsha yake balaa. Nikaona nitakufa. Nikatembea na biti mpaka mbele kwa dereva. Nikamwuliza vipi, mbona uliniahidi hutakimbia, imekuaje? Unataka kunitoa roho yangu? Alichekaaaaa kufa akanambia unajua tunatakiwa tufukie hiki kipande cha moshi na arusha. Yaan anakuambia inabidi waamshe balaaa ili wakafikie wa moshi. Na hapo kumbuka wa moshi nao wanatoka saa 12. Sindo kuuana huko? Na wale kukuacha hawajali ukichelewa. Yaan wanatembea ya kutosha. Basi bwana huko mbelembele wakapunguza kidogo. Na hapo ni vile kuna vibao kibao vya 50km na matrafiki wa kushtukizaaa. Balaaa sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji1787][emoji1787][emoji1787].....Nadhani ungemuambia kuwa mkifika Korogwe mnakula wote lunch, lazima angekukumbuka...

Yaani safari Arusha Dar hiki kipande cha Arusha mpaka Himo sikipendi kabisa..

Kipandw kingine nisichokipenda ni Bagamoyo mpaka Uinge Dar au Chalinze mapaka Ufike Dar....

Hivi vipande nikivikumbuka vinaniondolea mzuka wa safari kabisa
 
Halafu fujo za kipuuzi maanake njia ikifunguka unamkuta mbele anachechemea. Huwa nawaambia abiria wangu mabasi hayana mwendo yana fujo.
Wana fujo zisizo na tija...yaani usipokuwa mwangalifu anapita na wewe......

Wengine wanaongea kwa kiburi "Basi lina bima kubwa hili.."

Sasa yeye andhani bima yake kubwa itarudishi roho ya mtu..
 
Kuna siku tunatoka Morogoro tupo kwenye Nissan Patrol Y60, Kutoka Kingolwira kulikuwa na Traffic baada ya kipande hicho kuitafuta Mkambarani. Abood ikawa inataka iochomoe ikae mbele, baada ya kuona mwenzake New force kaovateki gari 2 kisha akaomba kuingia.

Mbele wakati New Force anaingia alipiga honi Kwa fujo mpaka dereva wa Harrier akaingia pembeni nusu ahame njia. Sasa Sisi nyuma yetu Abood alikuwa anatoa gari mpaka usawa wa mlango wa nyuma Kwa abiria na anapiga honi Sana na kuwasha taa Kwa fujo na konda anatoa mkono kutupa ishara ya kupunguza mwendo. Sisi tunatembea bila wasiwasi jamaa walikuwa kila akitaka atoe anakuta wala hatuami.

Nyuma ikatokea Kidinilo ilikuwa imeovateki mpaka Abood sasa inataka ikae mbele yetu na imekaribia mpaka usawa wa mlango wa dereva kisha anapiga honi Kwa fujo na lesi hatua chache mbele roli likatokea saiti ambayo basi lipo, Kidinilo kwenda mbele hawezi sababu ya urefu na mwenzake Abood anamkazia kuingia. Ikabidi roli lipunguze mwendo Kidinilo ikakaa nyuma yetu.

Hizi basi dawa yao ukiwa na Land Cruiser au Nissan Patrol unaweka bull bar na side bar tuone kama yupo tayari kuchubua rangi ya basi kisa anataka aovateki kuwahi kukaa mbele.
Yaani hapa umeongea kitu cha kunifurahisha..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Haya mabasi pamoja na fujo zooote huwa ni MAKUNWA JINGA....
.Nakuhakikishia Wanaogopa Land Cruiser na Hayo Manissan patrol ya Ngaonza chuma...

Pia wwnajua nyingi ni za serikali hivyo hawajui aliyebebwa ndani ni nani..[emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji1787][emoji1787]
 
Hao wa mabasi ya kichina wachumba tu, ukiwa na Nissan Patrol au Land Cruiser unaiwekea Bull bar na Side bar pembeni kuanzia juu na chini.
Hizo basi za fiber glass akifanya mbishi anaharibu shoo na body ndani ya Dakika chache amtie hasara bosi wake Kwa uzembe.

View attachment 1662224
Hiyo Side bar protection unaizungusha mpaka juu na sehemu ya nyuma.
Hapa dereva wa YUTONG anakuacha uende kwa amani..[emoji23]

Ila yale Mangorika ya zamani yenye Chasis za Scania sijui ni 93M, achana nayo kabisa...yale ni machinja chinja..[emoji1787]
 
kwa Hivyo na mie nikianza endesha bus mtanisema namba hii?
Yaani mara nyingi udereva wa basi ni kama ule wa Toyo, Boxer, Fekon......maderwva wa hivi vitu wanapata mzuka fulani wa kijinga wa kuvunja sheria za barabarani...

Nakuhakikishia hata dereva wa Rais leo hii ukimpa Toyo, utaona anafanya madudu barabarani...


Sijui hivyo vyombo vina kilevi gani..
 
Back
Top Bottom