Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
Ndiyo ila inakuwa inachanganya haraka sana..ikishafika kwenye limiter, bhaasssKuna wale wanaofanya tunning kwa kuzijaza mods
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo ila inakuwa inachanganya haraka sana..ikishafika kwenye limiter, bhaasssKuna wale wanaofanya tunning kwa kuzijaza mods
Bima hapo nahisi utajijua mwenyewe..[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji23][emoji23]Kha! Wanakupa na bima comprehensive ama?
Tatizo la wabongo wakishagundua kitu, wanatumia mwanya huo kupiga hela...kikishaenea mtaani, bei itafika hata 50k..I believe wanaflash ECU ya gari. Maana limiter iko kwenye hiyo software. It should not be that expensive.
Yaani wengi wangekinunua kifo Kwa laki 5!
Mi nna ki obd reader changu nilinunua china $15 I think. Kinasoma na kuclear check engine vizuri tu. Same codes zinazoonekana na haya mamashine yao makubwa.Tatizo la wabongo wakishagundua kitu, wanatumia mwanya huo kupiga hela...kikishaenea mtaani, bei itafika hata 50k..
Kwa mfanya kufanya diagnosis ilikuwa bei kichaa, sasa hivi dogo kanyoa kiduku unampa 30k mnamaliza kazi kibao..
Kweli mkuu, wabongo hatusaidiani, bali tunakomoana...Mi nna ki obd reader changu nilinunua china $15 I think. Kinasoma na kuclear check engine vizuri tu. Same codes zinazoonekana na haya mamashine yao makubwa.
Hizi tech zimewekwa makusudi ili bei iwe rahisi but wabongo wanatupigia hapo.
Kipande cha hedaru-same nakipigaga na vitz rs manual 180kphInataka moyo kutembea mwendo huo na hizo gari.
Duh wajomba!"Wajomba" hawa hapaView attachment 1790144
aaah! Napenda sana kwenda Arusha kwa kutokea Singida.. huwa naipenda sana ile njia.. ratiba zangu za Arusha huwa naziamshia nikiwa dodoma au singida au mwanza..Ukiwa unauelekeo wa Dar-Arusha mshtue Hornet
Wajomba hawana haraka, wapo mdogo mdogo na mambo yao 😀😀Duh wajomba!
Ni njia nzuri sana, naipenda zaidi kuliko Dar to ArushaHio njia itabidi tu nipite, nimechoka kusimuliwa
kikubwa safari 😀😀Itabidi nipite kabla Mjapan wangu sijamfunga ball joint,bushes,tie rod end za Kariakoo