Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Nimeshawahi kufanya ligi na gari ndogo za magazeti

Noah wanatembea 140kph wastani
Isuzu pickup wanatembea 160kph

Muda mwingi mwendo wao unacheza hapo na hawana vituo vya hovyohovyo.

Nilikuwa na Mkorea 'Tucson' manual 220kph +10 max, niliwatailgate lakini nikaona wananipotezea muda nikawaacha.
 
Miaka sita hivi nyuma, kulikuwa na Abood bus Dar Tunduma, Scania, ukiiona kwa nje huwezi kuidhani, ndani ilikuwa powa sana, siti nzuri na zenye nafasi.

Kuna siku nao niliwatailgate maeneo ya Doma - Mikumi nikaona wanatembea 160 hadi 170 kph, sijui waiifanyaje ile basi, hatari sana.
 
Kuna jaamaa yangu ana Audi R8, anaishi Lusaka.

Mwakani Mungu akipenda nitatangaza ligi ya 'mwisho' Mpika - Lusaka (Zambia) 650km, maana mkeka umetulia na hakuna longo longo za Trafiic officers njiani, ni gate kwa gate.

Tukifika Lusaka ni kufurahia weekend na hatimaye kurudi Bongo, audi ya watu nitaiacha hukohuko, hivyo nitaomba lift wakati wa kurudi.
 
Nimeshawahi kufanya ligi na gari ndogo za magazeti

Noah wanatembea 140kph wastani
Isuzu pickup wanatembea 160kph

Muda mwingi mwendo wao unacheza hapo na hawana vituo vya hovyohovyo.

Nilikuwa na Mkorea 'Tuckson' manual 220kph +10 max, niliwatailgate lakini nikaona wananipotezea muda nikawaacha.
Tupe uzoefu wako wa gari za Korea Mkuu! Mbona bongo haziagizwii mkuu shida ni Nini? Spea ,mafundi au? Mi nilitaka kuagiza Kia Sorento nikakwama Mana ni left hand side.
 
Issue ni ku clear taa ya check engine isiwake au ni kutafuta root cause ya tatizo?

no wonder mafundi wahuni huwa wanafunga na black masking tape ili upate amani ya moyo kumbe tatizo liko palepale
Siyo kwamba faults
Issue ni ku clear taa ya check engine isiwake au ni kutafuta root cause ya tatizo?

no wonder mafundi wahuni huwa wanafunga na black masking tape ili upate amani ya moyo kumbe tatizo liko palepale
Lakini reader nyingine zina full system functions. Hivyo unaweza ku-reprogram fuel injection system, ku-regenerate dpf etc.
 
Nimeshawahi kufanya ligi na gari ndogo za magazeti

Noah wanatembea 140kph wastani
Isuzu pickup wanatembea 160kph

Muda mwingi mwendo wao unacheza hapo na hawana vituo vya hovyohovyo.

Nilikuwa na Mkorea 'Tuckson' manual 220kph +10 max, niliwatailgate lakini nikaona wananipotezea muda nikawaacha.
Kuna watu unasikia wanasifiwa siku ukikutana nao barabarani unajiuliza ndio hawa au wengine
 
Tupe uzoefu wako wa gari za Korea Mkuu! Mbona bongo haziagizwii mkuu shida ni Nini? Spea ,mafundi au? Mi nilitaka kuagiza Kia Sorento nikakwama Mana ni left hand side.
Wakorea wako vizuri sana sehemu nyingi tu, lakini bidhaa zao zipo lower end na higher end kutegemeana na walaji.

Nilitumia Hyundai Tucson 2.0 manual ya Singasinga fulani Mbeya ndiyo chanzo cha kununua yangu.

At top speed gari bado imetulia, spea nyingi ni original, hapo Dar mtaa wa Shaurimoyo kuna agent wa KiA na Hyundai. Pia mashine za diagnosis zinasaidia kupunguza mafundi kuchokonoa pasipohusika.


Achana na Sante Fe, go for 'Tucson'

Kama ilivyo kwa laptop Dell Latitude vs Dell zingine of the same spec.
 
Wewe uko na gari gani?
Golf ninazo ziogopa sana hizi 👇

S10521-18390048(1).jpg


Kina 315HP na 310 lb-ft of torque 😎
 
Back
Top Bottom