Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa mkuuOndoa shaka
aaah! Napenda sana kwenda Arusha kwa kutokea Singida.. huwa naipenda sana ile njia.. ratiba zangu za Arusha huwa naziamshia nikiwa dodoma au singida au mwanza..
Kuna gari zimetengenezwa kwa ajili ya high speed. They are safe and comfortable ukiwa high speed.From my experience, watu wenye magari "proper" au ya kifahari (sorry nimekosa jina sahihi), I mean the likes of VW, mercedes, BMW, Discovery nk.....kwanza wengi ni wenye uwezo kiuchumi...
hahahaha..mkuu uko sahihi lakini..speed ngoja niwaachie nyinyi.Kuna gari zimetengenezwa kwa ajili ya high speed. They are safe and comfortable ukiwa high speed.
Na sio rahisi kuona zinapata ajali hovyohovyo.
karibuNimeshawishi nimechoka, na kuendesha maili ndefu siwezi mimi ntafika nalazwa
Oohh itabidi nijifunze tu kwa kweliWengi wanajilipua tu. Ndio maana napenda kusafiri mchana kwasababu najijua naendesha kuanzia 140kph
Kama tra wanagusika kwanini LED isigusikeAdaptive LED lights?
Hizo ni balaa ila bei yake nadhani haigusiki.
Hiyo itakuwa poa sana
anaweza jaribu bahati yake 🙄🙄[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Daah acha tu ndugu yangu sasa hivi mambo mengi
Ila nina swali! Hivi mtu ambaye ana tatizo la kutokuona mbali anaweza akaendesha usiku kwa speed ya kuanzia 120kph na kuendelea?
120 kph Highway?Sio lazima kwenda mbio, mwendo wa wastani unatosha. Hio 120kph inatosha sana.
ama kweli akutukanae hakuchagulii tusi 😂😂😂😂.. umeona ututukane team mikweche 😀😀😀From my experience, watu wenye magari "proper" au ya kifahari (sorry nimekosa jina sahihi), I mean the likes of VW, mercedes, BMW, Discovery nk.....kwanza wengi ni wenye uwezo kiuchumi....
Nipe kazi ya kukuendesha mkuu.. hata ukita safari ya dar kigoma kila siku 😀😀😀 ila gari iwe yako tu.. hotel kuanzia nyota 3 mahala pa mie kupumzika baada ya tripNimeshawishi nimechoka, na kuendesha maili ndefu siwezi mimi ntafika nalazwa
J200 series ukiwa 180 kphhahahaha..mkuu uko sahihi lakini..speed ngoja niwaachie nyinyi.
😀😀😀😀 120 naona kama gari haiendi kabisa.. kama hufikiSio lazima kwenda mbio, mwendo wa wastani unatosha. Hio 120kph inatosha sana.
Kabisa kabisa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] 120 naona kama gari haiendi kabisa.. kama hufiki
Gharama yote hyo kisa nn jamaNipe kazi ya kukuendesha mkuu.. hata ukita safari ya dar kigoma kila siku 😀😀😀 ila gari iwe yako tu.. hotel kuanzia nyota 3 mahala pa mie kupumzika baada ya trip
Dereva wa ndege baada ya trip huwa wanalala pale Serena hotel au Hyatt Regency. Dereva ni mtu muhimu sana kabeba roho za watu na yake. So baada ya trip anatakiwa apate mahala pazuri sana na burudani nzuri kabisa za kuwek mwili wake sawa, akili kabla ya next trip.. ajali nyingi za madereva hutokana na madereva kuto kupata mapuzmiko sahihi hasa wanao tembea umbali mrefu.. hizo gharama ndogo sana Boss wanguGharama yote hyo kisa nn jama
Ila kweli hata hiyo inatosha sana. Tusije tukatafuta matatizo mengine yanayoweza epukika.Sio lazima kwenda mbio, mwendo wa wastani unatosha. Hio 120kph inatosha sana.