Mungu wangu!! Hata jinsi ya kuzungusha spanner enyewe sijui, mie najua kudrive na sheria zake, ikitokea tatzo tyuuh bas nimeshaishiwa kila kitu.
Kuna safar 1 nlkua natoka Dar naenda Moro, sasa ile gari ilkua ina tatizo kwenye tyre, wakat huo mie sijui wala mwenye gari hajui, mie huyo nkachukua ndinga kuanza safari, bhana wee kufika chalinze kwa mbele kidogo kuna ka msitu fulan kadogo,
Nkasikia sauti "paaaah" nilishtka kwa woga nusu niaachie usukan, bahat nzuri nilikua mwendo mdogo tena mdogo mno, bas nka control gari ikasimama pemben ya road, nashuka kuchek hivi naona tyre ya nyuma kulia imepancha.
Kisanga sasa sijui A wala Z kuhus ufundi, yaan sijui lolote, [emoji23][emoji23][emoji23] nilichofanya nlikaa tyuuh ndani ya gari afu nkaanza kulia yaan nalia vibaya sielew, baadae nkaona nimpigie muhusika anasema yeye yuko buzy kazin, hawez kuja, bhana wee nilianza kulia tena [emoji23][emoji23][emoji23] nalia tyuuh sielew, kumbe muhusika amewatuma mafundi wawili wanifate,
Baadae kidogo naona gari imepark mbele yangu, wakashka wanaume wawili na vifaa, wakacheki tatizo ndo wakaanza kutengenza na kubadili tyres, ikawa fresh na safar ya Moro ikaishia hapo nkarudi Dar,
Tangu siku hiyo sichukui gari bila kuhakikiwa kuwa ni nzima, maan itakua habari nyingne.
Sent from my Infinix X652C using
JamiiForums mobile app