Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Kuna siku nimeendesha from Dar to Mwanza mwenyewe non stop (Touarage imesimama kweli kweli 🙂 . Nimefika around saa kumi na mbili jioni.....

Ile nimeingia hotelini.....nikajiuliza maswali mengi..Masanja ndo naanza kuingia uchumi wa kati...halafu nakimbizana na hizi barabara..why lakini? sikupata jibu la kuridhisha.

Aisee from there on..nina kijana wangu Dar....mda fulani alikuwa dereva wa diplomat mmoja. Nikiwa nasafiri mbali ndo anashika usukani. But if its a 500km and less naendesha mwenyewe.

The good news.... huyu dereva anaijua na kuipenda kazi yake haina mfano! Kikubwa kuliko vyote yaani gari inakaa safi mda wotee....mpaka raha! (nachukia sana gari chafu)

Truth is..nikiwa nasafiri nataka niwe free..nichungulie iPad kidogo..kama nina kiu nifungue ka kopo ka Heineken kidogo ilmradi...nifurahie safari yangu.

Hapana hizo trip ndefu na speed nawaachia...aiseee.....nisije katisha maisha yangu kizembe nikakosa raha za uchumi wa kati.....ambazo nimezihangaikia for years!

Pamoja sana wakuu..life is short..lets enjoy but.......responsibly!
Duh mkuu kuna gari dereva anainjoi zaidi ya abiria. Pia driving ni hobby, kwenye road trip starehe yangu ya kwanza ni kuendesha,kusikia v6 au v8 power roars ni raha sana....nikizeeka nitamwachia dereva 😂😂😂😂
 
Sijawahi endesha usiku mie, ila wanavoendesha wengine nkitazama, naona kawaida hat mie naweza.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Usiku ni ngumu kuendesha maana inabidi akili iwe very sharp, kwanza kukadiria distance, ku neggotiate corners , mnavyopishana na pia uwe mwepesi kujua uelekeo wa gari unalopishana nalo, kuna madereva wengine usiku wanaendesha wakiwa wamechoka , hakawii kusinzia , kuingia upande wako akakusababishia ajali,
 
Lasik Surgery works better.

It's effective and a better option.

Ila mi sitaki mtu acheze na macho yangu kabisa.
Itabidi nifanye mpango aisee..miwani inakera sana.
Kwa hapa bongo wapi naweza pata hiyo huduma?

Hapo penyewe last time Dr alinipima akaniambia computer inaonyesha -4..nikamwambia aache utani.
4 sivai mimi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo kwenye suala la miwani sasa hapo ndipo mtihani ulipo. Sijui kwanini pamoja na kujigundua kuwa nina hili tatizo ila bado sipendi kujizoesha kuvaa miwani.
Kuna optician aliwahi niambia ukiwa na tatizo na usipolifanyia kazi unazidi kufanya tatizo linakuwa kubwa na linaweza athiri hata vitu vingine.

Sawa na gari, ikifa sensor moja na usipotibu tatizo, matatizo mengine yatazidi kujitokeza.

In the mean time, kavae miwani kwanza huku unajipanga kwa option nyingine nzuri zaidi.
 
Ila kiukweli umasikini ulaaniwe! Kuna gari unaingia mpaka unajiuliza...wewe una fail wapi?

Ulishajaribu kufungua mlango wa Mercedes GLE? au VW Touareg? mzee mlango una kilo kumi..nenda sasa kwa zile gari za akina Masanja..mlango kilo moja na nusu...

Yaani umasikini ni adui mkubwa 🙂
Mara ya kwanza kufungua mlango wa benz nilidhani ni mbovu.

Haufunguki wote, unafunguka kidogo tu. Inabidi utumie nguvu kuusukuma mpaka mwisho.

Milango ya hizi gari zetu unafungua unaenda wenyewe mpaka mwisho.
 
Back
Top Bottom