t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Njia ya lindi ni rafiki sana hakuna milima mikali kama , njia ya njombe songea ambazo zinapoteza muda.Sasa mbona Dar - songea via Lindi ndo wanawahi kufika final destination, kuliko via Moro?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njia ya lindi ni rafiki sana hakuna milima mikali kama , njia ya njombe songea ambazo zinapoteza muda.Sasa mbona Dar - songea via Lindi ndo wanawahi kufika final destination, kuliko via Moro?
Mmmmh sikubali na hili la KM, japo kuhusu barabara na milima ni kweli.Njia ya lindi ni rafiki sana hakuna milima mikali kama , njia ya njombe songea ambazo zinapoteza muda.
Njia ya lindi songea kweli ni ndefu, ila haina mambo mengiMmmmh sikubali na hili la KM, japo kuhusu barabara na milima ni kweli.
Wafikiri zile 50Kms za Mikumi National Park usiku raia wanazikamua ndani ya muda gani?Hiyo ya moro iringa 2.5 hours uongo. Una mikumi kati hapo.
Dar ' Songea via Lindi imeizidi Dar - Songea via Iringa kwa walau 50Kms hiviii, advantage ya hii ya Lindi > Masasi it has less traffic congestion, less 'traffic points'. Usumbufu kidogo ni kutoka Dar hadi utoboe Mbagala > Kongowe > Vikindu huko mbele mwendo tu kimtindo unlike route ya Iringa msongamano mkubwa wa magari hadi Chalinze flani Moro hiviii na kuendelea. Otherwise milima nayo ni kipengele kingine.Njia ya Dar Lindi Songea Ina kilometa pungufu na haina milima mingi kulinganisha na kupitia Iringa/Muombe.
Na Land Cruiser Series 70 ZX, Toyota Coaster na Land Cruiser Series 80 zenye injini ya 1HZ na gearbox automatic kwenye mlima huwa zinasinzia Sana kuzidi hata manual yenye injini ya 1HZ.Hakika unazijua!!!
Engine ilikuwa ni Td 42 na lilikuwa lina behave exactly ulivyoelezea , sijawahi kupata nafasi ya kuendesha manual labda ningelipenda
Yes. Na ukipiga race inachutama upandeKweli mkuu, Nissan Patrol yenye injini ya TD42 ikiwa na automatic transmission huwa inatabia ya kuchelewa kuchanganya na kwenye mlima ikirudi gear ndogo husinzia sana.Sababu kubwa ni kutumia gearbox za kizamani na zenye gia 4 kwa automatic.
Ukitaka kufurahia jaribu kuendesha manual, Nissan na ukubwa wote wa body ila ukiichezea kwa kuachia clutch ghalfa mbele huwa inataka kama kuinuka.
Nakusiini mfuate Mafundisho
Kwani mafundisho yenyewe yanasemaje?Mafundisho yapi tena jamani...?
Inawezekana labda hali ilikuwa mbaya sana na home mambo magumu.Imenitokea mkuu ME wawili na KE mmoja...tena mbaya zaidi tulikuwa tunatoka msibani, nikampa msela lift wakati wa kurudi...Kisha anaomba hela..
"Bro nitoe hata buku tano."..
Kumbuka hapo umeshamuokolea nauli ya bodaboda au bajaji..[emoji26][emoji26][emoji119]
Wakati narudi Dar from Dodoma nilitaja kupost kuhusu hii kadhia. Nilikaa 2 hours kutoka kwa Mathias mpaka Picha ya ndege.Nilishawahi kutoka morogoro saa 12 jioni nikafika dar saa 7 usiku. Kuna lari lilizima hapo gogoni.
Juzi kati nimetoka mbezi mwisho saa 12:30 asubuhi nikapita chalinze saa 3.30 asubuhi.
Mwezi uliopita nilitoka ubungo saa 5 asubuhi, nikafika vigwaza saa 11 jioni. Walikuwa wanaweka zege maeneo ya kwa matiasi.
Sahivi hata kama naenda chalinze, nazungukia bagamoyo - msata. Morogoro road ni kichefuchefu.
Morogoro road hapana kwakweli. Hii njia imekuwa kichefuchefu.
Imenitokea mkuu ME wawili na KE mmoja...tena mbaya zaidi tulikuwa tunatoka msibani, nikampa msela lift wakati wa kurudi...Kisha anaomba hela..
"Bro nitoe hata buku tano."..
Kumbuka hapo umeshamuokolea nauli ya bodaboda au bajaji..[emoji26][emoji26][emoji119]
Anaamini kabisa ana haki na pesa yakoMazingira ninayoishi vijana na wazee hawana aibu ya kuomba omba hela....
Unakutana na mtu anakunyookea. " Sijawahi kukuomba kitu leo nipe 5000 tu"
as if ulikuwa umemuweka mwenye bajeti zako..[emoji26]
Wala usisubiri kufika hadi Chalinze, kunjia nyuma kule Mdaula sijui ukapitie Msoga utobolee mbele hukooo or else waja kujiunga na kijifoleni cha ujenzi wa Chalinze pasipo ulazimaWakati narudi Dar from Dodoma nilitaja kupost kuhusu hii kadhia. Nilikaa 2 hours kutoka kwa Mathias mpaka Picha ya ndege.
This time nikiwa narudi sirudii ujinga, nikifika Chalinze naminya kushoto Msata.
Hiyo picha nilipiga 0004 hrsWafikiri zile 50Kms za Mikumi National Park usiku raia wanazikamua ndani ya muda gani?
Shukrani mkuu noted ntacheki google MapsWala usisubiri kufika hadi Chalinze, kunjia nyuma kule Mdaula sijui ukapitie Msoga utobolee mbele hukooo or else waja kujiunga na kijifoleni cha ujenzi wa Chalinze pasipo ulazima
Hakuna aibu kwenye njaaInawezekana labda hali ilikuwa mbaya sana na home mambo magumu.
Wanaume kuna wakati tunapitia mengi sana.
Unaamka asubuhi ramani haisomeki na familia inakutizama tu.
Amina !Nimeona Mshana amepost Saint Anne amefiwa na baba yake.
Napenda kumpa pole mdau mwenzetu na Mungu amtie nguvu kipindi hiki kigumu kwake na wanafamilia.
Roho ya marehemu ipumzike kwa amani.
Marhabaah yan lina mzuka balaa!gari za auto me hua cna mzuka nazo bas tu[emoji13]Kweli mkuu, Nissan Patrol yenye injini ya TD42 ikiwa na automatic transmission huwa inatabia ya kuchelewa kuchanganya na kwenye mlima ikirudi gear ndogo husinzia sana.Sababu kubwa ni kutumia gearbox za kizamani na zenye gia 4 kwa automatic.
Ukitaka kufurahia jaribu kuendesha manual, Nissan na ukubwa wote wa body ila ukiichezea kwa kuachia clutch ghalfa mbele huwa inataka kama kuinuka.
unachukua kama vitoe lakini.. 😀😀 au inakuwaje😀.. maaana pale mitaa ya usiku Mungu anajua.. huwa nalala napo hatariWabaya , zaidi ni swala , unaweza kuona pametulia , ghafla bin vuu, huyu hapa kwa barabara , anamkimbia simba!!!!
Bora ugonge mmoja bas, wakiwa watatu , dola 600 iwe kwenye mfuko wa shati