Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Nyang'oro! Tanzania is beautiful!
20210605_102555.jpg
20210605_102745.jpg
 
Thanks Dualis Driver, you save me from the 50km/hr traffic camera 🎥.

19BF94C1-31E8-4007-8746-366A5DA16227.jpeg


Yaani alikuwa mbele yangu anaenda mwendo mdogo nikasema huyu anatongoza demu aamaaa..! Wakati barabara ilikuwa nyeupe inaita.

Kushoto nako kuna daladala ndo kwanza inadema.... nikawa mpole, usawa wa geti la COTEX nikaona yangeyange na camera yao daaah...!!

Nikajukuta nalibusu Dualis by far, ila sasa baada ya kuwapita askari alitumua mbiooo hadi nikashindwa soma plate number zake....😊.

Hizi tochi Daslam tulishazisahau naona zimerudi.... Mungu anisaidie nilegeze kisigizo maana elf 30 kuipa sirikali inaumaa 🤨.

Kasie Matata.
 
Thanks Dualis Driver, you save me from the 50km/hr traffic camera [emoji327].

View attachment 1810176

Yaani alikuwa mbele yangu anaenda mwendo mdogo nikasema huyu anatongoza demu aamaaa..! Wakati barabara ilikuwa nyeupe inaita.

Kushoto nako kuna daladala ndo kwanza inadema.... nikawa mpole, usawa wa geti la COTEX nikaona yangeyange na camera yao daaah...!!

Nikajukuta nalibusu Dualis by far, ila sasa baada ya kuwapita askari alitumua mbiooo hadi nikashindwa soma plate number zake....[emoji4].

Hizi tochi Daslam tulishazisahau naona zimerudi.... Mungu anisaidie nilegeze kisigizo maana elf 30 kuipa sirikali inaumaa [emoji2955].

Kasie Matata.

Wanapenda sana weekends haswa Jumapili..

Kuna jumapili moja waliwahi kuniotea wakachukua 5k yangu bhna..
 
Thanks Dualis Driver, you save me from the 50km/hr traffic camera [emoji327].

View attachment 1810176

Yaani alikuwa mbele yangu anaenda mwendo mdogo nikasema huyu anatongoza demu aamaaa..! Wakati barabara ilikuwa nyeupe inaita.

Kushoto nako kuna daladala ndo kwanza inadema.... nikawa mpole, usawa wa geti la COTEX nikaona yangeyange na camera yao daaah...!!

Nikajukuta nalibusu Dualis by far, ila sasa baada ya kuwapita askari alitumua mbiooo hadi nikashindwa soma plate number zake....[emoji4].

Hizi tochi Daslam tulishazisahau naona zimerudi.... Mungu anisaidie nilegeze kisigizo maana elf 30 kuipa sirikali inaumaa [emoji2955].

Kasie Matata.
Huwa wanakaa Tegeta pale...just beforer IPTL ukikaa vibaya unaacha 30K
 
shukrani mkuu
vipi kuhusu vivutio?
...kuna ming'oko mingi sana huko mjomba..
Pia napenda Masasi yale mawe makubwa...
Kule mtwara kuna beach nzuri mfano Mikindani na Shangani...

Lakini pia kuna watoto wa Kimakonde, Kiyao na Kimakua....
Kutongoza hawa ni simple sana...mwambie tu unamleta mjini....atajibu .."Baa! Namie naenda njini..?" Hapo tayari umeshajiopolea......
 
Umalize nini tena jamani 180 haitoshi? Angalia airbags hizo hazifanyi kazi.

Ina 220 inabidi nisogee nizikute hizi. Airbug kuna error inazingua sasa na hii gari fundi wa mtaani tu wanazingua,ilipasuka booster tu za nyumba za upepo na lilinitesa sana kuzipata, next service napambana nalo likae sawa
 
Thanks Dualis Driver, you save me from the 50km/hr traffic camera [emoji327].

View attachment 1810176

Yaani alikuwa mbele yangu anaenda mwendo mdogo nikasema huyu anatongoza demu aamaaa..! Wakati barabara ilikuwa nyeupe inaita.

Kushoto nako kuna daladala ndo kwanza inadema.... nikawa mpole, usawa wa geti la COTEX nikaona yangeyange na camera yao daaah...!!

Nikajukuta nalibusu Dualis by far, ila sasa baada ya kuwapita askari alitumua mbiooo hadi nikashindwa soma plate number zake....[emoji4].

Hizi tochi Daslam tulishazisahau naona zimerudi.... Mungu anisaidie nilegeze kisigizo maana elf 30 kuipa sirikali inaumaa [emoji2955].

Kasie Matata.

Huwa kuna tochi mitaa ya mizani hapa salasala ukiwa unatoka Mwenge kuja Tegeta. Ni pa kuangalia sana hapo,zingine ni Mapinga na Zinga kwa tunaofika Bagamoyo
 
Back
Top Bottom